Kamera Man wa Globu ya Jamii,leo amefanikiwa kuzinasa taswirazz hizi za Wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga katika Mataa ya Kuongozea Magari,Ubungo Jijini Dar.Vijana wengi hapa mjini,wamekuwa  wakijishughulisha na kazi mbali mbali ili kuweza kujikimu kimaisha.
 Hapa ni Machinga akiuza mipira ya kucheza.
Mishale na mikuki yake pia inapatikana Ubungo Mataa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2013

    safi sana wacha wajitafutie riziki maana hilo nchi ni gumu sana kimaisha serikali ni zero kwenye msaada wa raia wake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...