



BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Du ulinzi kama obama.
ReplyDeleteHakuna kitu, wewe ulinzi wa Obama uliuona au ameusikia tu? Hapana chezeya marekani wewe!
ReplyDeleteWajasiliamali jamani jitahidini usafi, na uaminifu katika kutengeneza bidhaa hasa vya kula. Mafuta ya ubuyu ni mazuri kwa afya lakini wajanja wameanza kupaki korie kwenye chupa zenye lebo ya ubuyu.
ReplyDeletePia heshimuni na wale wanaowafadhili.
sabuni zinazotengenezwa na wajasiliamali zina kemikali inaathili ngozi. Yaani ukiogea ngozi inakuwa na mabaka kama fungasi
ReplyDeleteAu kuna kitu wanazidisha? hebu rekebisha kidogo tunazipenda.
Sabuni za ubuyu zina kiharufu fulani. Nadhani hicho wakitoe ndicho kinaleta madhara kwenye ngozi.
ReplyDeleteSi sabuni za ubuyu tu hata za mwarobaini n.k hebu rekebisheni kidogo.
Msijemkadhani zinapendwa . Ila mmoja akinunua harudi tena. Ili kuwa na bidhaa hii endelevu hebu angalia ni kuingo gani mle ndani ya sabuni kinaathili ngozi