Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (aliyeshika mkasi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa vifaa vipya vya karakana za TEMESA mikoani. Kushoto kwa Waziri ni Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya TEMESA Eng. Brig. Gen. Reginald Chonjo na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhe. Eng. Gerson Lwenge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Eng. Mussa Iyombe, Mkurugenzi wa Vivuko wa TEMESA Eng. Japhet Masele na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Umeme kutoka Wizara ya Ujenzi Eng. Dkt. William Nsahama.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (wa pili kushoto) akionyeshwa na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa (aliyeshika karatasi) baadhi ya vifaa vipya vilivyonunuliwa kwa ajili ya karakana za TEMESA mikoani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (mbele) akionyeshwa na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa (aliyeshika kipaza sauti) baadhi ya vifaa vipya vilivyonunuliwa kwa ajili ya karakana za TEMESA mikoani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. KAka michuzi mwambie Mh MAgufuli aanze na Ferry kigamboni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...