Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (aliyeshika mkasi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa vifaa vipya vya karakana za TEMESA mikoani. Kushoto kwa Waziri ni Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya TEMESA Eng. Brig. Gen. Reginald Chonjo na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa. Kulia kwa Waziri Magufuli ni Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mhe. Eng. Gerson Lwenge, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Eng. Mussa Iyombe, Mkurugenzi wa Vivuko wa TEMESA Eng. Japhet Masele na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Umeme kutoka Wizara ya Ujenzi Eng. Dkt. William Nsahama.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (wa pili kushoto) akionyeshwa na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa (aliyeshika karatasi) baadhi ya vifaa vipya vilivyonunuliwa kwa ajili ya karakana za TEMESA mikoani.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuili (mbele) akionyeshwa na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Eng. Marcelin Magessa (aliyeshika kipaza sauti) baadhi ya vifaa vipya vilivyonunuliwa kwa ajili ya karakana za TEMESA mikoani.
KAka michuzi mwambie Mh MAgufuli aanze na Ferry kigamboni
ReplyDelete