Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akisalimiana na Balozi Mdogo wa India aliyepo hapa Zanzibar Balozi Pawan Kumar aliyefika kwenye Ofisi yake iliyopo Baraza la Wawakilishi Mbweni kumuaga rasmi akikaribia kumaliza muda wake wa utumishi wa Kidiplomasia hapa Zanzibar.
Balozi Mdogo wa India aliyepo hapa Zanzibar Bwana Pawan Kumar akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hapo Ofisini kwake kwenye jengo la Baraza la Wawakilishi Mbweni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar Balozi Mdogo wa India hapa Zanzibar Bwana Pawan Kumari anayekaribia kumaliza muda wake wa kazi hapa Zanzibar kama ishara ya kumbu kumbu ya kuwepo kwake katika Visiwa vya Zanzibar. Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...