Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na mgeni wake Mheshimiwa Balozi wa Nigeria,Bw. Ishaya Majanbu aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha ujumbe wa mwaliko maalum wa Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan kushiriki katika Kongamano la Viongozi Wakuu wa Nchi na Serikali barani Afrika litakalofanika nchini Nigeria kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya miaka 100 ya Muungano wa Shirikisho la Nigeria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Muungano wa Nigeria kutimiza Miaka 100 si mchezo!

    Sio sisi hii miaka 50 tunatoana kamasi !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...