Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akitoa maneno ya utangulizi kwa Waheshimiwa Wabunge wakati wa semina ya wabunge wote kwa ajili ya uwasilishwaji wa mapendekezo ya mfumo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Uhusiano Mhe. Steven Wazira akiwasilisha mwelekeo wa hali ya uchumi kwa mwaka 2014/2015 kwa waheshimiwa wabunge
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum akiwasilisha Mapendekezo ya Mfumo wa Mapato na Matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 kwa Waheshimiwa Wabunge.
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila akisikiliza kwa makini hotuna ya Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum akiwasilisha Mapendekezo ya Mfumo wa Mapato na Matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 kwa Waheshimiwa Wabunge.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Uhusiano Mhe. Steven Wazira wakipitia nyaraka mbalimbali wakati Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akitoa maneno ya utangulizi kwa Waheshimiwa Wabunge wakati wa semina ya wabunge wote kwa ajili ya uwasilishwaji wa mapendekezo ya mfumo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015.
Wabunge wakifuatilia hotuba kwa makini.
Watendaji wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum. Picha na Owen Mwandumbya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2014

    Kuondoa umasikini kunakosemwa na viongozi wetu ni ndoto! Huwezi ukawa na bajeti ya mambo muhimu ishirini (20), hapo utatupatupa huku na huku bila kuwa na tija yoyote! Na kwanini uongeze matumizi wakati hata makusanyo yote hayafikii matumizi ya kawaida? (Recurrent expenditure 14.2trn versus revenue 12trn). Kwa hiyo tunakopa kulipa mishahara! hapa umaskini ni wa kudumu! Na growth rate ya asilimia 7 haiwezi kukidhi hizo ndoto za taifa. Kwa ongezeko la watu kwa asilimia tatu (3), tunahitaji at least 9% ili walahu kuanza kuleta utajiri! Otherwise hakuna chochote, zimekuwa nyimbo tu siku zote!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2014

    VIONGOZI WETU MIAKA MICHACHE ILIYOPITA TULIKUWA KWENYE HILI KUNDI. SASA TUNATAKA TUONEKANA KWENYE KUNDI LA NCHI ZENYE MAISHA MAZURI AFRICA.

    The following list present the top 15 poorest countries in Africa in 2013, based on their own GDP (PPP)* per capita estimations for 2013, according to data provided from the IMF.
    GDP (PPP): Gross domestic product (purchasing power parity)


    #1 – Democratic Republic of Congo
    GDP (PPP) per capita: $394.25
    Population: 75 million
    #2 – Zimbabwe
    GDP (PPP) per capita: $589.46
    Population: 12.6 million
    #3 – Burundi
    GDP (PPP) per capita: $648.58
    Population: 8.7 million
    #4 – Liberia
    GDP (PPP) per capita: $716.04
    Population: 4.1 million
    #5 – Eritrea
    GDP (PPP) per capita: $792.13
    Population: 6 million
    #6 – Central African Republic
    GDP (PPP) per capita: $827.93
    Population: 4.4 million
    #7 – Niger
    GDP (PPP) per capita: $853.43
    Population: 17.1 million
    #8 – Malawi
    GDP (PPP) per capita: $893.84
    Population: 16.4 million
    #9 – Madagascar
    GDP (PPP) per capita: $972.07
    Population: 22 million
    #10 – Mali
    GDP (PPP) per capita: $1.136.77
    Population: 14.5 million
    #11 – Togo
    GDP (PPP) per capita: $1.145.94
    Population: 7.1 million
    #12 – Republic of Guinea
    GDP (PPP) per capita: $1.162.18
    Population: 10 million
    #13 – Ethiopia
    GDP (PPP) per capita: $1.258.60
    Population: 91.1 million
    #14 – Mozambique
    GDP (PPP) per capita: $1.262.96
    Population: 24 million

    #15 – Guinea-Bissau
    GDP (PPP) per capita: $1.268.46
    Population: 1.7 million

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...