Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam kushiriki Harambee ya Uchangiaji fedha za Ujenzi wa kituo Cha Watoto wenye Mahitaji Maalumu cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Center leo Juni 05,2025.  

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Watoto wenye Mahitaji Maalumu wakati wa Harambee ya Uchangiaji fedha kwaajili ya Ujenzi wa kituo Cha Watoto wenye Mahitaji Maalumu Cha Kitopeni Bagamoyo Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam leo Juni 05,2025.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...