Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda akiwa katika Banda la NACTVET kuangalia baadhi ya fani zilizo katika mashindano ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu ya Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea jijini Tanga.Na Belinda Joseph-Tanga
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewataka wabunifu nchini kusajili bunifu zao mapema ili kulinda haki zao na kuzuia bunifu hizo kutumiwa au kuendelezwa na watu wengine bila ridhaa yao.
Akizungumza Agosti 18, 2026, katika Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa inayoendelea mkoani Tanga, Msajili Msaidizi Mwandamizi kutoka Kurugenzi ya Miliki Ubunifu, Sehemu ya Hataza BRELA, Bi. Neema Kitala, amesema ushiriki wa BRELA katika wiki hiyo unalenga kuwapatia wabunifu elimu kuhusu umuhimu wa kusajili na kulinda bunifu zao.
Kitala amesema Hataza ni haki ya kisheria inayotolewa kwa mbunifu kwa ajili ya kulinda uvumbuzi wake na kumpa mbunifu haki ya kutambuliwa na kunufaika na ubunifu huo.
Amesema bado kuna wabunifu wengi ambao hawajasajili bunifu zao kutokana na kutofahamu taratibu na umuhimu wa usajili, hivyo BRELA inaendelea kutoa elimu katika maeneo mbalimbali nchini.
“Tunawahamasisha wabunifu wote, hasa vijana, kuhakikisha wanasajili bunifu zao mapema ili ziweze kulindwa na kutambuliwa kisheria, wanaweza kutembelea tovuti ya BRELA au kufika moja kwa moja katika ofisi zetu kujisajili".
Amesema usajili ni muhimu kwa sababu mbunifu anapoweka wazi bunifu yake bila kuilinda hususani katika maonesho kama hayo, kuna uwezekano wa mtu mwingine kuitumia, kuendeleza au kutengeneza bidhaa inayofanana na hiyo bila ridhaa ya mbunifu mwenyewe.
Aidha, Kitala amesema BRELA imeendelea kuwafikia wabunifu kutoka maeneo mbalimbali, wakiwemo wanafunzi na wabunifu kutoka vijijini, kwa kuwapatia elimu kuhusu namna ya kusajili bunifu zao na kuzifanya kuwa mali inayotambulika kisheria.
Amesema changamoto kubwa inayowakabili baadhi ya wabunifu ni kudhani usajili wa bunifu zao ni kiasi kikubwa cha fedha, huku akieleza gharama za usajili wa kazi zao BRELA kupitia Hataza ni shilingi elfu 12 kwa sasa ambayo ni kiasi cha kawaida, ametoa rai kwa wabunifu kuanza mchakato wa usajili badala ya kusubiri hadi bunifu zao zitumiwe na watu wengine.
Amesisitiza kuwa kulinda bunifu kupitia hataza ni hatua muhimu kwa mbunifu kwa kuwa kunasaidia kutambua umiliki wa uvumbuzi na kumpa fursa ya kunufaika na kazi yake, huku akiwataka wabunifu kutumia fursa za elimu zinazotolewa na BRELA kupata uelewa zaidi kuhusu usajili na ulinzi wa bunifu zao.
Na Belinda Joseph-Tanga
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imebuni programu ya simu ya Afya Kijani inayolenga kuwasaidia wakulima kutambua magonjwa ya mazao kwa kutumia picha kupitia teknolojia ya akili unde yakiwa bado shambani.
Akizungumza Salvatory Mwesige Eustace, mtafiti na mbunifu kutoka TARI Ukiriguru, Mwanza, amesema programu hiyo itamwezesha mkulima kupiga picha ya mmea wenye dalili za ugonjwa kwa kutumia simu yake, kisha kupata taarifa kuhusu aina ya ugonjwa unaoathiri zao hilo.
Amesema baada ya kutambua ugonjwa, programu hiyo pia itatoa mapendekezo ya hatua ambazo mkulima anapaswa kuchukua ili kuzuia au kutibu ugonjwa huo, huku ikitarajiwa kuunganishwa na maafisa ugani kwa ajili ya kutoa ushauri zaidi kwa wakulima.
“Afya Kiliani itamsaidia mkulima kutambua ugonjwa uliopo shambani na kumpa mapendekezo ya namna ya kuuzuia au kutibu, hivyo kupunguza upotevu wa mazao unaotokana na kutokujua aina ya ugonjwa unaoharibu mazao."
Amesema kwa sasa programu hiyo iko katika hatua ya majaribio shambani, huku ikitarajiwa kuanza kupatikana kwa umma kupitia Play Store na App Store baada ya kukamilika kwa majaribio yanayoendelea.
Mwesige amesema katika hatua ya awali, watafiti wamekusanya sampuli za pamba zenye magonjwa tofauti, ikiwemo bacteria na sampuli hizo zimeingizwa kwenye mfumo ili kuuwezesha kutambua magonjwa hayo kupitia picha.
Amesema ubunifu huo umechukua takribani miezi sita kufanyiwa kazi, huku TARI ikiendelea kuuboresha ili kuongeza uwezo wa programu hiyo, ikiwemo kutoa taarifa za hali ya hewa ya eneo husika na kusaidia mkulima kupanga shughuli zake za kilimo.
Akieleza sababu ya kushiriki katika Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa inayofanyika Tanga, Mwesige amesema TARI imetumia jukwaa hilo kuwaonyesha wananchi, hususan wakulima, namna teknolojia na ubunifu vinavyoweza kutumika kutatua changamoto zinazowakabili katika kilimo.
Amesema ni muhimu wakulima kutumia mbinu bora za kilimo badala ya kutegemea nguvu kazi pekee, akiwataka kutumia fursa zinazotolewa na watafiti na wabunifu ili kuongeza uzalishaji na kipato.
“Kilimo cha sasa hakiwezi kutegemea nguvu nyingi pekee yake, Wakulima wanahitaji mbinu bora za kilimo ili kuongeza uzalishaji".
Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa inafanyika Tanga kunzia tarehe 15 hadi 24, ikiwa ni jukwaa la kuwaunganisha watafiti, vyuo, wabunifu, wanafunzi na wadau wa elimu, katika kuonesha teknolojia na suluhisho mbalimbali zinazolenga kuchochea maendeleo ya jamii.

Tanzania’s 2026/27 Budget is more than the Government’s annual plan for collecting and spending public money. It sets out how national resources will be allocated across development, public services, infrastructure and the economy as a whole, with decisions that reach into almost every part of the country. At TZS 62.33 trillion, it represents the scale of Tanzania’s plans for the year ahead and provides a clear picture of the priorities, opportunities and economic direction that will set the course for the next stage of the country’s development.
1. Introduction.
On 23 June 2026, Tanzania’s Parliament did more than approve another national budget. With 385 of 393 votes, it gave legal and financial force to a TZS 62.33 trillion plan that had been presented in Dodoma just 12 days earlier. Following seven working days of parliamentary debate, the 2026/27 budget was approved and came into effect on 1 July. The numbers were large, the vote decisive and implementation began. Yet the significance of that moment reaches well beyond the parliamentary chamber.
Tanzania now enters a different chapter in its development story, with the 2026/27 budget providing the annual financial framework for that journey. It is the first budget under Tanzania Development Vision 2050, the first to operate within the Fourth National Five-Year Development Plan (FYDP IV), covering 2026/27–2030/31, and the first full-year budget following the 2025 general election. These three developments place the budget at an unusual intersection because a new long-term national vision, a new five-year development cycle and a fresh political mandate are now meeting the practical realities of governing and developing the country.
Taken together, they raise a question that is more important than the size of the budget itself. What does Tanzania choose to do when its long-term ambitions must be translated into actual allocations, projects, policies and priorities? Vision 2050 sets an expansive destination, a prosperous, fair, inclusive and self-reliant upper-middle-income Tanzania, with the long-term ambition of building an economy worth 1 trillion US dollars by 2050. But destinations do not transform economies. Decisions do. A national budget is where those decisions begin to acquire a price, a timetable and a measure of accountability.
The real story of the budget, therefore, lies in how that ambition is translated into action. What follows is consequently not simply an examination of how much Tanzania plans to collect and spend, but a closer look at what the country’s choices reveal about the economy it wants to build, the opportunities it is positioning itself to capture and the direction in which the nation is now moving. The TZS 62.33 trillion figure is where the story begins, not where it ends.
2. What the 2026/27 Budget Is About.
The 2026/27 budget is designed to move Tanzania further towards a more resilient, competitive and productive economy. Its priorities point towards developing productive sectors, improving the business and investment environment, digital transformation, human capital and completing strategic infrastructure projects. The budget also places particular attention on value addition in agricultural, fisheries, livestock and mineral products, with the aim of increasing production, employment and economic opportunities.
The budget also places greater importance on how public resources are converted into results. Government plans include tighter project management, stronger procurement and internal controls, better integration of public financial management systems and closer alignment between planning, budgeting and project implementation. Funds are to be directed towards high-impact and productive areas, while development projects are expected to be assessed for cost and value before they are included in government plans and budgets. This gives the 2026/27 budget an important practical dimension because its success will depend not only on what Tanzania allocates, but also on how effectively those allocations are turned into completed projects, productive assets and better public services.
The scale of the budget reflects this bigger ambition. The Government plans to collect and spend TZS 62.33 trillion in 2026/27, an increase of 10.3 percent over the 2025/26 budget. Estimated revenue stands at TZS 46.79 trillion, including TZS 36.99 trillion in tax revenue, TZS 9.24 trillion in other revenue and TZS 563.1 billion in grants from development partners. About 74.2 percent of the budget is expected to be financed through domestic revenue. The Government explicitly links this greater reliance on domestic resources to its aspiration for self-reliance, while the decline in development-partner grants makes clear the need to grow the domestic revenue base.
The real story of the budget, therefore, lies in how that ambition is translated into action. This is reflected in the Government’s continuing effort to create a more supportive environment for investment and business activity. The budget builds on reforms that have already reduced or abolished 374 fees and levies after a review of 55 laws, while further measures are intended to simplify regulatory procedures and improve access to capital, technology and expertise. It also proposes stronger support for formalisation, small and medium enterprises, vocational skills and employment, while the tax structure is being used to encourage local production and protect selected domestic industries.
2.1. Productive Economy.
The transformation of Tanzania’s productive economy is increasingly becoming a question of connections, connecting producers to markets, businesses to finance, domestic industries to regional value chains and economic activity to the systems that allow it to scale. This is particularly relevant as Tanzania seeks to build its position within the East African Community and take greater advantage of regional markets. The 2026/27 budget supports this direction through measures aimed at developing manufacturing and regional value chains, while the planned Logistics and Export Facilitation Centre is intended to help entrepreneurs and investors overcome some of the practical barriers between production and international markets.
That connection is also taking an increasingly digital form. Tanzania’s move towards a cash-lite economy is creating another layer of economic infrastructure through which transactions can take place more efficiently and transparently. The Tanzania Instant Payment System processed 651 million transactions worth TZS 54.95 trillion in 2025, compared with 453 million transactions worth TZS 29.82 trillion in 2024. The Government is seeking to extend digital payments further across sectors including transport, tourism, education, real estate and agriculture. As this ecosystem grows, digital payments can do more than replace cash. They can make transactions easier to document, improve the ability of businesses to participate in formal financial systems and create a more connected environment for business.
The real value lies in what happens when these systems begin to work together. A producer who can access finance, make and receive digital payments, access the inputs they need, move goods efficiently and reach a regional market has a very different economic opportunity from one operating within a fragmented chain. This is why the budget’s measures on trade, logistics, finance and digital transactions matter beyond their individual policy descriptions. They address some of the links between production and markets that determine whether economic activity can move from small-scale enterprise to larger commercial opportunities. The objective is not simply to increase the volume of economic activity, but to make the pathways through which that activity grows more efficient.
This gives Tanzania’s productive transformation a distinctly outward-looking dimension. Domestic production can become more valuable when it is connected to regional demand, international markets and increasingly sophisticated financial and logistical systems. For businesses, this can increase the markets available to them. For investors, it can make Tanzania a more attractive location for production. For the national economy, it can increase the potential for more value to be generated through formal, connected and scalable economic activity. The 2026/27 budget therefore begins to address not only what Tanzania produces, but how efficiently what it produces can move through the economy and into larger markets.
3. The Budget Architecture.
A national budget is an exercise in choices. The same shilling cannot meet every obligation at once, and the structure of expenditure reveals how the Government has chosen to balance the responsibilities of today with the capacity required for tomorrow. Within the TZS 62.33 trillion 2026/27 budget, expenditure and investment in non-financial assets are projected at TZS 54.50 trillion, excluding repayment of Government debt principal. Of this amount, TZS 10.13 trillion is allocated to employees’ entitlements, including pension contributions, TZS 5.22 trillion to goods and services, TZS 6.86 trillion to interest payments, TZS 25.32 trillion to subsidies, TZS 1.01 trillion to pension benefits and social assistance, TZS 2.33 trillion to investment in non-financial assets, and TZS 3.63 trillion to other expenditure.
These figures reveal an important feature of the budget that can be missed by looking only at the traditional distinction between recurrent and development expenditure. A substantial share of public resources is committed to obligations that keep the machinery of government and the public system as a whole functioning, while another portion is directed towards investment in non-financial assets that can create benefits over many years. Subsidies, employee obligations, interest payments and social support therefore sit alongside investment within the same fiscal structure. The architecture of the budget is consequently a balancing exercise between meeting the state’s existing responsibilities and creating the conditions for additional public capacity.
3.1. Budget Discipline.
The quality of the budget’s expenditure structure depends not only on the amounts allocated, but on the discipline applied before and after the money is committed. The Government is refining the assessment of development projects before their inclusion in plans and budgets, managing contracts more effectively and tightening controls over public commitments. New contracts are also subject to the requirement for the necessary parliamentary budget approval. At the institutional level, greater attention is being given to the management of public assets and the financial performance of State-Owned Enterprises, including measures intended to encourage greater financial independence and, where appropriate, the listing of profitable public corporations on the Dar es Salaam Stock Exchange. These measures shift the approach from simply approving expenditure to improving the quality of the public balance sheet itself.
There is also a clear fiscal boundary within which these choices must operate. The Government has set the overall budget deficit at no more than 3.0 percent of GDP, establishing a defined limit for the difference between what the Government plans to spend and what it can generate through its fiscal resources. This matters because development ambitions are strongest when they are supported by a fiscal structure that can be sustained beyond a single financial year. The architecture of the 2026/27 budget therefore rests on three connected principles, namely meeting necessary public obligations, preserving room for productive investment and maintaining the expenditure controls required to keep the overall fiscal position within a credible boundary.
Seen this way, the budget’s architecture is not simply an accounting arrangement. It is the mechanism through which competing national priorities are converted into actual financial commitments. Its strength will depend on whether resources reach the purposes for which they were allocated, whether public institutions manage those resources effectively and whether investment produces assets and services capable of supporting Tanzania’s economic and social progress over time. The headline figure tells us the size of the budget, while its internal structure tells us how the Government intends that money to work.
4. Building the Revenue Base.
The financial strength of Tanzania’s 2026/27 budget begins with the Government’s ability to turn economic activity into a reliable stream of public revenue. The experience of 2025/26 provides an encouraging starting point. Between July 2025 and April 2026, revenue including grants reached TZS 34.75 trillion, equivalent to 101.8 percent of the period target, while tax revenue reached TZS 28.10 trillion, or 105.1 percent of target. The results are associated with a larger tax base, rising economic activity, more effective revenue collection systems, taxpayer education and greater voluntary compliance.
For 2026/27, the Government is targeting domestic revenue equivalent to 17.1 percent of GDP, up from a projected 16.5 percent in 2025/26, while tax revenue is expected to rise from 13.2 percent to 13.7 percent of GDP. The Government is also targeting real GDP growth of 6.3 percent in 2026 while maintaining inflation within the 3 to 5 percent medium-term range. Achieving the revenue targets will therefore require revenue growth to keep pace with overall economic activity, while maintaining an economic environment that supports production, investment and consumption.
The next part of that transformation is the way revenue is collected. The Finance Act 2026 amended legislation across areas including banking, electronic transactions, excise, exports, income, investment and special economic zones, land and local-government taxation. Rather than viewing these measures individually, they can be understood as part of a coordinated effort to bring the revenue system in step with a changing economy. The Government is also increasing taxpayer access through TRA service centres and mobile tax centres, while upgrading ICT systems and administrative measures to improve revenue collection. The measures are intended to make compliance more accessible, provide clearer identification of economic activity and create a closer connection between taxpayers and the revenue system.
The same approach extends to how government systems work together. As economic activity becomes increasingly digital and interconnected, closer integration between public systems can support the flow of information, more coordinated administration and a clearer understanding of economic activity across the country. This can help create a revenue system that responds more effectively to changes in the economy while reducing gaps between different areas of administration. The objective is therefore not simply to collect more, but to have a revenue administration that works with efficiency and consistency while supporting a more organised and predictable business environment.
4.1. Investment, Debt and Growth.
Borrowing provides the additional fiscal space required when domestic revenue alone cannot meet the full cost of development and public obligations. By April 2026, the Government had borrowed TZS 11.29 trillion from domestic and external markets. Domestic borrowing amounted to TZS 5.08 trillion, including TZS 2.53 trillion used to finance development projects and TZS 2.55 trillion for refinancing maturing obligations. External borrowing amounted to TZS 6.20 trillion, comprising TZS 4.61 trillion in concessional loans and TZS 1.59 trillion in non-concessional borrowing. Domestic and external borrowing carry different purposes and terms, with implications for development spending, repayment obligations and the overall cost of debt.
By March 2026, total Government debt stood at TZS 114.34 trillion, consisting of TZS 38.45 trillion in domestic debt and TZS 75.89 trillion in external debt. The November 2025 Debt Sustainability Analysis found the debt sustainable over the medium and long term. The present value of Government debt was 39.6 percent of GDP against a 55 percent threshold, while external debt to GDP stood at 24.4 percent against a 40 percent threshold and external debt to exports at 123.1 percent against a threshold of 180 percent. The figures show that Government debt remains within the established sustainability thresholds, giving the Government room to use borrowing while maintaining macroeconomic stability.
The quality of that borrowing matters as much as the amount borrowed. The Government says it will continue to prioritise concessional financing, increase domestic revenue mobilisation, continue economic reforms and maintain low borrowing costs. Moody’s Investors Service and Fitch Ratings have assessed Tanzania as creditworthy, indicating the country’s capacity to service its debt obligations. Tanzania’s receipt of a Commonwealth Government Debt Management Award further points to the institutional attention being given to managing public liabilities and making sure that borrowed funds are properly used.
External assessment generally confirms the value of maintaining this balance. In its July 2026 review, the IMF described Tanzania as having maintained robust growth and macro-financial stability, with real GDP growth of 5.9 percent in 2025. Its fiscal projections put the overall deficit at 2.9 percent of GDP and gross nominal public debt at 47.4 percent of GDP in 2026/27. The relevance for the 2026/27 budget is that borrowing is being placed within a framework of revenue mobilisation, expenditure management and debt sustainability. The fiscal challenge is therefore not simply to find additional money for development, but to preserve the credibility and room needed for Tanzania to continue investing as its economy grows.
5. Conclusion.
A nation’s future is not built by what it promises, but by what it chooses to build today, and Tanzania’s 2026/27 budget arrives at precisely such a moment. It is a moment when a country that has spent years developing its foundations can begin asking a more ambitious question, what can those foundations now make possible? The answer will not be found in the budget figures alone, but in the confidence they help create, the doors they open and the choices they make possible for a country determined to move forward. In that sense, the budget is not simply the financial plan for another year. It is an opportunity to turn national ambition into productive capacity and create the conditions for a more productive, connected and opportunity-led economy.
Perhaps the most compelling part of Tanzania’s story is that its greatest possibilities are still ahead. A young and increasingly connected population, a strategic position at the heart of East Africa, vast resources, emerging markets and a growing capacity to attract investment give the country an unusual combination of opportunity. The task now is to convert that potential into something tangible and real. Every new enterprise that succeeds, every skilled young person who finds an opportunity, every productive farm that reaches a larger market, every investment that creates value locally and every public project that changes the way people live adds another piece to that larger story. The budget provides the direction, but its true power will be revealed in the chain of possibilities that follows.
This is why the most important question is no longer simply what the 2026/27 budget contains, but what it sets in motion. A successful budget should create momentum that outlives its own financial calendar. It should make the next investment easier, the next business more confident, the next generation more capable and the next development decision more ambitious. If that momentum takes hold, today's allocations become tomorrow's productive capacity, tomorrow's productive capacity becomes greater opportunity, and greater opportunity gives Tanzania an even stronger platform from which to pursue its long-term aspirations. That is where a national budget begins to acquire a meaning far greater than its accounting value. Taken as a whole, the 2026/27 budget presents a clear commitment to turning national resources into greater economic opportunity.
And perhaps that is the most exciting part of where Tanzania stands today. The story is only beginning to reveal what it can become. The 2026/27 budget is an important step in creating an economy that can produce more, create greater value within Tanzania, connect businesses and people to larger markets and turn the country’s resources and human potential into real opportunity. Its success will in time be measured by the confidence it inspires, the opportunities it unlocks and the progress that follows from it year after year. As Nelson Mandela reminded the world, “It always seems impossible until it’s done,” and Tanzania’s development story will in time be written not by the ambitions it declares, but by the progress it makes possible for generations to come through the 2026/27 budget and the actions that follow.
Thank you.
Written by Christopher Makwaia
Tel: +255 789 242 396
— The writer, is a University of West London graduate (formerly Thames Valley University) and an expert in Management, Leadership, International Business, Foreign Affairs, Global Marketing, Diplomacy, International Relations, Conflict Resolution, Negotiations, Security, Arms Control, Political Scientist, and a self-taught Computer Programmer and Web Developer.
Mkurugenzi Mtendaji wa BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) , Bw. Asangye Bangu, akizungumza wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao cha Tatu cha Wizara ya Viwanda na Biashara na Maafisa Biashara, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA
BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS), kuongeza tija kwa wakulima na kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Mkurugenzi Mtendaji wa WRRB, Bw. Asangye Bangu, ameyasema hayo leo Agosti 18, 2026, wakati akizungumza na Maafisa Biashara katika Kikao cha Tatu cha Wizara ya Viwanda na Biashara na Maafisa Biashara, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.
Bw. Bangu amesema utekelezaji wenye tija wa mfumo huo katika mikoa na halmashauri unahitaji ushiriki wa karibu wa Maafisa Biashara, hususan katika usimamizi wa shughuli zinazohusiana na maghala pamoja na minada ya mazao inayofanyika katika maeneo yao.
Amesema Maafisa Biashara wana nafasi muhimu katika kuhakikisha taarifa sahihi kuhusu mahitaji ya maghala katika maeneo yao zinapatikana, sambamba na kufuatilia hali, matumizi na uhitaji wa maghala katika halmashauri na mikoa ili kuwezesha Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kutekelezwa kwa ufanisi.
Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano kwa Umma na Mawasiliano wa WRRB, Bw. Dionis Musseru, amesema utoaji wa elimu kwa umma umeendelea kuongeza uelewa na ushiriki wa wadau katika mfumo huo, ambapo hadi sasa mazao 11 yanauzwa kupitia WRS.

Kamati tendaji ya Baraza la Wafugaji tarafa ya Ngorongoro imekutana leo tarehe 18 Agosti, 2026 ambapo pamoja na mambo mengine imechambua na kupitisha orodha ya majina ya wanafunzi wa kidato cha tano kutoka kata 11 za tarafa ya Ngorongoro wanaofadhiliwa na Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro
Majina ya wanafunzi wanaofadhiliwa na Ngorongoro yanatokana na mapendekezo ya kata zote 11 zenye Vijiji 25 ambapo kila kata inachagua wanafunzi watatu (03) ambapo wanapata fursa hiyo ikiwa ni hatua ya kuendelea kuboresha uhusiano kati ya Ngorongoro na Jamii inayoishi ndani ya hifadhi
Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro Abdul-Razaq Badru ameeleza kuwa sambamba na kusaidia huduma za elimu kwa wanafunzi wa tarafa ya Ngorongoro, katika kipindi cha wiki moja ijayo itafanyika tathmini ya mahitaji ya maji na barabara zenye changamoto ambapo Ngorongoro inatarajia kuchimba visima saba (07) na kukarabati mtandao wa barabara katika maeneo ya hifadhi ili kuhudumia wananchi na watalii.
Aidha Ngorongoro kwa kushirikiana na makampuni ya simu inatarajia kuimarisha huduma ya Mawasiliano ambapo hadi kufikia mwisho wa mwaka 2026 maeneo mengi ndani ya hifadhi huduma ya mawasiliano itakuwa imeimarika.
Kamati tendaji ya Baraza la wafugaji wa Tarafa ya Ngorongoro inaundwa na waheshimiwa madiwani, Wenyeviti wa Vijiji, Viongozi wa mila na wawakilishi wa wanawake, Mhifadhi NCAA,wawakilishi wa vijana.













.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)



.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)







.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)





