Na Mwandishi wetu-Iringa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu) Mhe. Prof, Palamagamba Kabudi amesema Serikali itaendelea kuheshimu na kuthamini mchango wa kiuongozi uliotolewa na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu) Marehemu William Lukuvi.
Hayo ameyasema wakati wa ibada ya Misa Takatifu ya kumaliza Msiba iliyofanyika nyumbani kwa Marehemu Idodi Mkoani Iringa na kuhudhuriwa na wananchi na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali.
Alisema, “Enzi za uhai wake Waziri Lukuvi alinisaidia kufahamu shughuli mbalimbali za Bunge na serikali na hivyo kupata weledi mzuri mambo mengi kutokana na uzoefu aliyokuwa nao,”
Aidha uwezo wake wa kusimamia nidhamu ipasavyo Bungeni ikiwa ni pamoja na kuimarisha mahusiano kati ya Serikali na Bunge ilimfanya aendelee kuaminiwa katika kazi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu.
Kwa Upande Mama Germana Lukuvi Mjane wa Marehemu ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe, Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kushikamana na familia tangu walipopata msiba.
Awali Mbunge wa Isimani Mhe, Emanuela Mtatifikolo alisema Marehemu Lukuvi ataendelea kuishi kwenye mioyo ya wananchi wa Isimani, kwa mageuzi makubwa ya maendeleo aliyoyafanya.
“Uwakilishi wake kwa wananchi wa Jimbo la isimani na kwa kushirikiana na Serikali aliwezesha Jimbo la Isimani kunufaika na ujenzi wa barabara ya lami uimarishaji wa Huduma za afya na kuendelea kuboresha miundo mbinu ya elimu szambamba na umeme,” alibainisha
Na Belinda Joseph-Tanga
Mradi wa Mafunzo ya Kitaaluma ya Ufundi Stadi katika Sekta ya Migodi (IMTT) umeendelea kuwa daraja muhimu kwa vijana kupata ujuzi unaohitajika katika sekta ya migodi, huku mfumo wake wa Uanagenzi ukiwawezesha wanafunzi kujifunza darasani na kufanya kazi za vitendo katika migodi, hatua inayochangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ya kujenga uchumi jumuishi unaoshirikisha wananchi katika shughuli za uzalishaji.
Akizungumza na Michuzi TV Agosti 16, 2026, katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayoendelea jijini Tanga kuanzia Agosti 15 hadi 24, Mkufunzi na Mratibu wa Uanagenzi wa IMTT kutoka VETA Moshi, mkoani Kilimanjaro, Mwl. John Nathan, amesema mpango huo ulianzishwa kwa ushirikiano kati ya VETA na Chemba ya Migodi Tanzania yaani (TCM).
Amebainisha kuwa tofauti na mafunzo ya kawaida ya darasani, mradi wa IMTT unafanyika katika mazingira mawili muhimu ni chuoni na katika eneo la kazi kwa maana ya viwandani, na Mfumo huo unamwezesha mwanafunzi kupata maarifa ya kinadharia na ujuzi wa vitendo kwa wakati mmoja, hivyo anapohitimu huwa tayari ana uzoefu wa mazingira halisi ya kazi.
“Anapokwenda kwenye kazi, anakuwa si mgeni tena, hahitaji uzoefu mwingine wa ziada ili kukidhi mahitaji ya ajira kwa sababu tayari ana uzoefu uliojengwa kutokana na muundo wa mafunzo".
Amesema kwa sasa, IMTT inatolewa katika chuo cha VETA Moshi peke yake, hii ni baada ya tafiti za awali zilifanyika na kubaini kuwa chuo hicho kilikuwa na mazingira, vifaa na miundombinu iliyohitajika kuendesha mafunzo hayo. Hata hivyo baadhi ya kampuni za migodi zimekuwa zikisaidia vijana kutoka maeneo yanayozunguka migodi kusafiri hadi Moshi kwa ajili ya mafunzo kabla ya kurejea katika maeneo yao ya kazi.
Ameeleza kuwa kwa mtu yeyote anayehitaji kujiunga na IMTT anatakiwa kuwa na ufaulu wa Kidato cha Nne na kuwa mzawa wa Tanzania na taarifa zaidi kuhusu taratibu za kujiunga wanaweza kufika VETA Moshi au kupata taarifa kupitia tovuti ya VETA.
Kwa upande wa mafanikio, amesema zaidi ya vijana 1,668 wamepatiwa mafunzo kupitia IMTT tangu kuanzishwa kwake mwaka 2009, ambapo asilimia 79.1 wameajiriwa katika migodi mbalimbali nchini, huku asilimia 1.1 wamepata ajira katika migodi nje ya nchi hali inayoonesha kuwa mafunzo ya ufundi stadi yanaweza kuwa njia muhimu ya kuwawezesha vijana kupata ajira.
Akieleza mchango wa programu hiyo katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, amesema IMTT inawawezesha vijana kushiriki moja kwa moja katika sekta ya migodi kwa kuwapatia ujuzi unaowawezesha kuwa sehemu ya nguvu kazi yenye tija, ambapo ajira wanazopata vijana hao haziwanufaishi wao pekee, bali pia familia zao na jamii zinazowazunguka.
Aidha, amegusia mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya migodi yameifanya VETA kuendelea kuboresha mitaala ili kukidhi mahitaji mapya, hususan katika uchimbaji wa chini ya ardhi, amesema wanatarajia kuja na Programu sita mpya ambazo ni Scoop Operation, Tele-remote Bogger Operation, Cubex Operation, Jumbo Operation, Lifting and Rigging pamoja na Mobile Charging Unit Operation ili kuongeza ujuzi wa vijana wataokwenda kuisaidia sekta ya migodi kikamilifu kulingana na kasi ya ukuaji wa teknolojia.
Akitoa ujumbe kwa vijana wanaotembelea Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga, aliwataka kutumia fursa hiyo kupata taarifa kuhusu mafunzo ya ufundi stadi na kuchukua hatua badala ya kubaki na ndoto bila kuzifanyia kazi.
“Usiwe na wazo kichwani ukabaki na wazo, fanyia kazi, anza sasa,” akieleza kuwa vijana waliopitia IMTT wameweza kufikia fursa mbalimbali za ajira ndani na nje ya nchi, jambo linaloonesha kuwa ujuzi wa ufundi unaweza kuwa msingi wa mafanikio ya kiuchumi kwa vijana.
Absa Bank Tanzania Head of Application Management at Absa Bank Tanzania Nicky Mlelwa, said digital transformation has fundamentally changed how customers interact with banks, moving the industry away from traditional processes such as queues, paperwork and frequent branch visits.
“Digital transformation has fundamentally changed the face of banking. What was once an industry defined by queues, paperwork and branch visits is now powered by speed, convenience and experiences that fit seamlessly into customers’ daily lives,” Mlelwa said.
He said advances in automation, artificial intelligence, real-time data and other modern technologies have enabled banks to provide services that previously required days or weeks in a matter of minutes or even seconds.
Customers can now open bank accounts, apply for loans, make payments and access financial services through digital platforms, with technologies such as real-time payments, digital lending, straight-through processing and open banking becoming increasingly central to the modern banking experience.
“Banking is no longer just a place to store money or process transactions. Instead, it has become a trusted companion that supports customers throughout their financial journeys,” Mlelwa said.
He explained that customers increasingly expect to manage their finances anytime and anywhere, whether they are paying bills, transferring money, accessing credit, saving or investing.
According to Mlelwa, the transformation is being supported by a sophisticated digital infrastructure that enables banks to respond more quickly to changing customer expectations.
Technologies such as microservices and application programming interfaces (APIs) allow complex banking systems to be broken into smaller and more flexible components, while cloud computing provides scalable computing capacity to support faster innovation.
Artificial intelligence and machine learning are also enabling banks to understand customer behaviour, anticipate needs and develop more personalised financial solutions.
“Together, these innovations are creating a new era of banking, one that is more connected, intelligent and customer-centric,” he said.
However, Mlelwa said banks should not measure digital transformation only by the number of services they have successfully moved online.
He identified digital complaint handling as an area that requires greater attention if banks are to deliver a truly seamless digital experience.
“Digital customers expect digital service, not just when everything works perfectly, but also when something goes wrong,” Mlelwa said.
He explained that customers who open accounts online, apply for loans through mobile applications or make digital transactions naturally expect to be able to report and resolve problems through the same digital channels.
While traditional channels such as call centres and branch visits remain important, he said they may not always meet the expectations of customers who have become accustomed to instant digital services.
“The expectation goes even further. Today’s digital customers anticipate systems that are intelligent enough to detect failures proactively and resolve them before the customer even raises a complaint,” he said.
Mlelwa warned that when customers are forced to move between different support channels to resolve a digital banking problem, the experience can become frustrating and undermine trust.
“The inability to lodge a complaint easily or receive swift digital resolution leaves customers feeling unheard and undervalued,” he said.
Mlelwa said the next phase of banking transformation should therefore focus on creating an end-to-end digital journey that continues beyond the completion of a transaction.
“The path forward is clear: banks must embrace a truly end-to-end digital journey, one that does not end at service delivery but extends seamlessly into customer support,” he said.
He said digital complaint management should be embedded within banking platforms, enabling customers to report problems instantly, track their complaints and receive updates without leaving the digital environment.
“This requires embedding complaint handling directly into the digital architecture of banking solutions. It means building systems that can capture issues instantly, track them transparently and resolve them efficiently,” Mlelwa said.
He added that effective digital complaint management should incorporate automated detection of anomalies, real-time notifications, self-service resolution options and swift escalation where human intervention is required.
“More importantly, it should provide customers with visibility and assurance that their concerns are being addressed,” he said.
Mlelwa said future competition in banking would increasingly be determined by the quality of customer experiences rather than the sophistication of products alone.
“In a market where customer expectations are continuously evolving, differentiation will no longer be driven solely by the sophistication of products but by the quality of experiences,” he said.
He stressed that banks need to listen to customers while continuing to innovate, arguing that technology should ultimately strengthen rather than weaken the human connection between financial institutions and their customers.
“Banks that succeed will be those that listen as well as they innovate, those that not only digitise services but also humanise the digital journey through responsiveness and empathy,” Mlelwa said.
He noted that unresolved complaints, failed transactions and delays can have a disproportionate impact on customer trust, making effective complaint management an essential component of the digital banking experience.
Mlelwa said the true measure of digital transformation should therefore extend beyond how quickly a bank can process a successful transaction.
“Ultimately, a truly transformed bank is one that ensures every interaction is digital, every complaint is resolved swiftly, and every customer feels heard,” he said.
According to Mlelwa, creating such an end-to-end experience will be essential for building trust, strengthening customer loyalty and securing long-term competitive advantage.
“Because in the end, a delighted customer is not just a satisfied user who is likely to spend more, it is an enduring source of value,” he said.



Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Umma na Mawasiliano Bi.Julitha Mlay akizungumza na mwananchi aliyetembelea banda la Tume ya Taifa ya UNESCO kwenye maonesho ya wiki ya elimu MAKISATU yanayoendelea katika viwanja vya shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Tume ya Taifa ya Unesco Bi.Julitha Mlay akiwaonesha namna ya fursa za Tume hiyo kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita wa Shule ya Sekondari Usagara wakati walipotembelea banda la Tume ya Taifa ya UNESCO kwenye maonesho ya wiki ya elimu MAKISATU yanayoendelea katika viwanja vya shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Tume ya Taifa ya Unesco Bi.Julitha Mlay akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita wa Shule ya Sekondari Usagara wakati walipotembelea banda la Tume ya Taifa ya UNESCO kwenye maonesho ya wiki ya elimu MAKISATU yanayoendelea katika viwanja vya shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Ridhiwani Kikwete, amezitaka shule za msingi na sekondari kuwa na karakana zitakazokuwa chemchemi za ubunifu kwa vijana, huku akisisitiza kazi zitakazobuniwa zisajiliwe ili wabunifu wanufaike nazo.Ridhiwani amesema usajili huo utawasaidia vijana kumiliki kazi zao na kuzitumia kama fursa za kiuchumi, badala ya watu wengine kuchukua mawazo yao na kujinufaisha huku wabunifu wakibaki bila manufaa.
Amesema hayo akimwakilisha Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete, katika kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya Taasisi ya Baobab, iliyopo Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
Mkurugenzi wa Baobab, Shani Swai, amesema kwa sasa shule hiyo ina zaidi ya wanafunzi 1,000 na tangu mwaka 2007 hadi 2026, jumla ya wanafunzi wa 4,495 wa kidato cha sita wamehitimu, huku asilimia 98 wakiendelea na elimu ya vyuo vikuu ndani na nje ya nchi na wanafunzi 3,270 wamehitimu kidato cha nne ambapo asilimia 95 wameendelea na sekondari na vyuo vya ufundi.
Naye Kamishna wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Lyabwene Mtahabwa, amewataka Watanzania kushikamana katika kuwalinda .

Alisema mpango huo unaonyesha umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na wananchi katika kukabiliana na changamoto za kijamii.



.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)



.jpeg)
.jpeg)










.jpeg)

.jpeg)












.jpeg)
































