.jpg)
.jpg)
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Dkt Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kali kwa watu wanaodaiwa kuwa na njama za kuvuruga amani ya nchi, akiwataka Watanzania wote kuendelea kuwa walinzi wa kwanza wa utulivu na mshikamano wa taifa. Amesema kuwa amani ya Tanzania si jambo la kubahatisha, bali ni tunu inayopaswa kulindwa kwa nguvu zote na kila mwananchi.
Akizungumza jijini Dodoma, katika wilaya ya Chamwino, Dkt Mwigulu alionyesha msimamo thabiti wa serikali katika kuhakikisha hakuna mtu au kundi litakaloruhusiwa kuchezea amani ya nchi. Amesisitiza kuwa vyombo vya dola viko macho na vitachukua hatua kali dhidi ya yeyote atakayebainika kuhatarisha usalama na utulivu wa taifa.
Mbali na hilo, Waziri Mkuu ameelekeza ujumbe kwa viongozi wa umma, akiwataka kufanya kazi kwa weledi, uaminifu na uwajibikaji wa hali ya juu. Amekemea vikali vitendo vya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka, akisisitiza kuwa serikali haitamvumilia kiongozi yeyote atakayekiuka maadili ya utumishi wa umma.
Amefafanua kuwa anafuatilia kwa karibu utekelezaji wa miradi yote ya maendeleo nchini ili kuhakikisha thamani ya fedha inaonekana kwa wananchi. “Kila mradi ninaangalia, kila hatua inafuatiliwa. Atakayekwenda kinyume, hatabaki salama kwenye nafasi yake,” alisisitiza, akionyesha dhamira ya serikali kusimamia rasilimali za umma kwa umakini mkubwa.
Dkt Mwigulu amegusia pia suala la haki kwa wananchi, akionya kuwa hatasita kuwachukulia hatua wale wote wanaowaonea wengine au kukandamiza haki za wananchi. Kauli yake ya, “Wale wanaowaonea wengine nitashughulika nao, msiwe na mashaka — upele umepata mkunaji,” ilizua hisia za matumaini kwa wananchi kuhusu hatua madhubuti zitakazochukuliwa dhidi ya vitendo vya dhuluma.
Aidha, amewahimiza wananchi kuendelea kushirikiana na serikali katika kulinda rasilimali za taifa na kuhakikisha maendeleo yanawafikia wote kwa usawa. Amesisitiza kuwa maendeleo ya kweli hayawezi kupatikana bila kuwepo kwa amani, nidhamu na uwajibikaji wa pamoja.
Kauli hizo zinakuja wakati serikali ikiendelea kuimarisha misingi ya utawala bora, kupambana na rushwa, na kusukuma mbele ajenda ya maendeleo kwa lengo la kujenga taifa lenye uchumi imara na ustawi wa wananchi wake.
.jpeg)
Na Pamela Mollel,Arusha
Mashindano ya Tanfom Marathon yamefanyika kwa mafanikio makubwa jijini Arusha, yakiambatana na maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwake, tukio ambalo limeendelea kuipa heshima Tanzania katika sekta ya michezo na kuvutia wanariadha kutoka ndani na nje ya nchi.
Akizungumza katika mashindano hayo, Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania, Rogath John, amesema mashindano hayo yameonesha kiwango kikubwa cha ushindani na maandalizi bora kutoka kwa wanariadha, jambo linaloonesha maendeleo ya riadha nchini.
Amesema Tanfom Marathon ni sehemu muhimu ya maandalizi ya wanariadha kuelekea mashindano ya kimataifa, akibainisha kuwa lengo la shirikisho ni kuona Tanzania inazidi kuongeza ushindani na kupata medali zaidi katika mashindano makubwa duniani.
Kwa upande wa wadhamini, Meneja wa Kanda ya Kaskazini wa CRDB Bank, Cosmas Sadat, amesema benki hiyo itaendelea kuunga mkono matukio ya michezo na kijamii kama sehemu ya kurudisha kwa jamii.
Amesema uwekezaji katika michezo unachochea afya bora, mshikamano wa jamii na pia kukuza fursa za kiuchumi kupitia michezo na utalii wa michezo.
Mashindano hayo ya kilomita 42 yamehusisha wanariadha kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Kenya, Uganda na Uholanzi, hali iliyoongeza ushindani na hadhi ya kimataifa ya tukio hilo lililofanyika Arusha.
Wanariadha wa ndani na nje walionesha kiwango kikubwa cha ushindani, hali iliyoifanya Tanfom Marathon kuendelea kuwa moja ya mashindano yenye hadhi kubwa nchini.
Kwa upande wa wanaume, Modest Petro Kalist ameibuka mshindi wa kwanza baada ya kuonesha kiwango cha juu cha mbio na uthabiti mkubwa. Kalist amesema ushindi huo umetokana na mazoezi ya muda mrefu na uzoefu wa mashindano ya awali, yaliyomsaidia kukabiliana na ushindani mkali kutoka kwa wanariadha wa kimataifa.
Kwa upande wa wanawake, Vaileth Adam ameibuka mshindi wa kwanza wa kilomita 42, akionesha nidhamu, uvumilivu na maandalizi mazuri yaliyomuwezesha kufanikiwa. Amesema ushindani wa kimataifa ulimpa motisha zaidi ya kuongeza juhudi na kuwahimiza vijana kuendelea kujituma katika michezo.
Katika mashindano hayo, washindi wamepatiwa zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu, ambapo mshindi wa kwanza amepata shilingi milioni 6, huku washiriki wengine wakipatiwa zawadi tofauti ikiwemo magodoro kama sehemu ya kutambua juhudi zao.
Wadau wa michezo wamesema Tanfom Marathon imeendelea kuwa moja ya mashindano makubwa yenye mchango mkubwa katika kukuza riadha, kuimarisha afya za wananchi na kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia michezo.
Kwa ujumla, maadhimisho ya miaka 60 ya Tanfom Marathon yameacha historia kubwa jijini Arusha, yakionesha ukuaji wa riadha nchini na kuimarika kwa ushiriki wa kimataifa.

The confrontation of the United States and Israel with Iran has moved from covert operations to open war, igniting a conflict that defies containment. What began as calculated strikes has become a multi-domain struggle involving air, sea, cyber, and proxy arenas, shifting power dynamics, exposing vulnerabilities, and pulling the world toward an uncertain edge where escalation moves faster than control and outcomes grow more unpredictable by the hour.
1. Introduction.
Wars begin when you will but they do not end when you please, Niccolò Machiavelli wisely noted, a thought that carries chilling clarity over the events of February 28, 2026, when the United States and Israel launched coordinated strikes against Iran, which opened open war and collapsed the fragile illusion that diplomacy was still holding. Only days earlier, indirect nuclear negotiations held in Geneva had ended without reaching any agreement, yet both sides still held a cautious belief that continued discussions might reduce tensions and narrow the gap between their demands and concerns, even though deep mistrust remained unchanged.
In that fragile atmosphere, the brief expectation of further diplomatic engagement quickly dissolved as the situation shifted from stalled talks into full military confrontation. Under the operation names “Operation Roar of the Lion” and “Operation Epic Fury,” coordinated strikes hit Tehran and other strategic locations, targeting nuclear facilities, ballistic missile infrastructure, and key political and military command structures.
Behind this sudden escalation, the foundations of the war stretch deep into history, tracing back to the turning point of 1979 and decades of hostility built on sanctions, proxy confrontations, and the unresolved nuclear question. Agreements collapsed, trust eroded, and by 2025, diplomacy had become little more than ritual performed but no longer believed.
From this long buildup, the months leading to February 2026 saw rising sanctions pressure, military buildups across the Gulf, and a persistent movement toward inevitability. What emerged was not a sudden conflict but a planned break and what can be understood as a preemptive decapitation strategy, aimed not simply at deterrence but at destabilizing Iran’s governing structure and strategic stability.
1.1. The Inferno.
With the conflict now fully ignited, the immediate consequences were as devastating as they were decisive. Within hours, Iranian state media confirmed the deaths of Supreme Leader Ali Khamenei, Defense Minister Aziz Nasirzadeh, and Chief of Staff Abdolrahim Mousavi, a blow that effectively removed Iran’s military leadership in a single stroke. Civilian casualties mounted alongside these high profile killings, which made clear the brutal reality that even the most advanced “precision” warfare cannot contain its human cost.
As the scale of destruction became clear, what had been conceived as a rapid, overwhelming strike to neutralize threats instead ignited a wider inferno. Iran responded with fury, launching hundreds of ballistic missiles and over a thousand drones, extending the theater of war across Israel and deep into the Gulf, including Bahrain, Qatar, Kuwait, the United Arab Emirates, and Saudi Arabia, turning a targeted operation into a regional conflagration within 24 hours.
Beyond this immediate exchange of force, a deeper and more unsettling reality emerges that this is not a single war but multiple wars taking place at the same time, each governed by its own tempo and logic. The air war moves at supersonic speed, measured in minutes as jets and missiles cross borders. The naval war progresses slowly but with severe consequences, as Iran moves to close the Strait of Hormuz, threatening a fifth of global oil supply.
Within this battlefield, the cyber war operates in silence while retaliatory strikes target American and Israeli systems. At the same time, the proxy war spreads outward, as Hezbollah, Iraqi militias, and Yemeni Houthis have entered the conflict, bringing new fronts into play. Together, these layers form a multi layered structure of violence in which each strike generates another strike, and no decisive victory appears possible.
1.2. No Control Point.
In the days and weeks that followed, the human, infrastructure, and economic toll of the war revealed its most haunting dimensions. Beyond the elimination of Iran’s leadership, civilian suffering surged into global consciousness, with pain and loss felt deeply on both sides of the conflict as families faced destruction, displacement, and grief.
The conflict escalated according to a relentless logic of escalation. Iranian retaliation struck United States military installations and allied facilities across Gulf states, while Israel intensified its campaign by targeting critical infrastructure such as the South Pars gas field, sending shockwaves through global energy markets and pushing oil prices higher. Escalation has become a paradoxical strategy propelled not by control but by the inability to avoid it, as each move intended to contain the conflict instead stretched it into a cycle with no clear endpoint. Machiavelli’s warning still stands not as philosophy but as lived reality.
Now, the question that haunts every capital including Washington, Tel Aviv, and Tehran is not how the war began but how it ends. A fragile ceasefire brokered in early April 2026 offers only a temporary pause in a conflict that continues to move beneath the surface. Intelligence assessments suggest Iran still retains the capacity to strike back in meaningful ways, even after sustained pressure, while external actors, including global powers, edge closer to involvement.
2. War in Motion.
This conflict rests on the operational coordination between the United States and Israel, who have adopted a doctrine built on dominant air superiority, where the sky itself becomes both shield and sword. Their strategy relies on precision strikes designed to dismantle Iran’s military architecture by targeting command centers, leadership networks, and communication systems in order to fracture coordination and impose strategic paralysis. Rather than engaging in prolonged territorial warfare, the objective is to control tempo from above, forcing Iran into reactive patterns of defense in several directions.
Alongside this aerial dominance, the United States and Israel extend pressure through maritime and regional strategic influence, where critical sea routes and energy corridors become extensions of the battlefield. In this structure, naval power is used to secure, monitor, and in some cases restrict movement through key chokepoints, especially the Strait of Hormuz. The security and stability of global shipping lanes in this region are therefore directly tied to operational outcomes on land, in the air, and at sea, transforming economic infrastructure into a strategic instrument of pressure. As a result, military operations and economic power function together as a single integrated system of influence, where control over movement and supply becomes as decisive as control over territory or airspace.
In contrast, Iran’s response relies on dispersion rather than concentration, following a doctrine of asymmetry and unpredictability. The war plays out as an interconnected system of pressure points across land, air, sea, cyber, and proxy fronts. Instead of matching conventional airpower, Iran stretches the battlefield through swarms of drones, ballistic and cruise missile strikes, and coordinated activity with allied non-state actors such as Hezbollah and other regional partners. This produces a wide and fragmented theater of war stretching from Lebanon to the Gulf, including maritime corridors and covert operational spaces. Proxy warfare becomes a main instrument, allowing Iran to extend its reach far beyond its borders while complicating containment and escalation control.
Technology intensifies this confrontation on all sides. Drone systems are used to saturate defenses through volume and unpredictability, while advanced missile interception networks operate under continuous pressure. At the same time, cyber operations introduce an invisible layer of warfare, targeting intelligence systems, communications infrastructure, and critical services. The result is a battlespace where physical destruction and digital disruption merge, compressing response time and increasing the complexity of every operational decision.
3. Fire and Whisper.
The path to the first wave of strikes was set in motion not by a sudden collapse of diplomatic reason, but by the slow, agonizing death of the Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA) nuclear agreement, now reduced to a ghost of its original form. For years, the JCPOA revival talks in Vienna had become a graveyard of good intentions, where every technical negotiation crumbled under the weight of maximalist demands.
From this prolonged stagnation, the failure of diplomacy became impossible to ignore. As detailed in the pre-war diplomacy failure, the collapse of these nuclear negotiations did not happen overnight but instead unfolded as a predictable funeral, with the United States insisting on dismantlement far beyond the original accord while Iran cloaked its positions in sovereign inviolability. The ghost of the deal haunted every empty chair at the table, and by the time the first bunker-buster hit its target, diplomacy had already been declared a casualty, even if no one had yet signed the death certificate.
Out of that diplomatic collapse, war did not replace negotiation entirely but rather forced it into a different form. Yet even as the bombs fell, diplomacy refused to die because it simply mutated into a desperate, parallel existence alongside the warfare. The Islamabad Talks became the clearest symbol of the deadlock, with conflicting demands hardening into absolute positions, as the United States and Israel demanded full nuclear dismantlement while Iran refused to surrender what it called an inalienable right to enrichment.
As those rigid positions intensified, even attempts to pause the violence proved fragile and temporary. At the same time, Europe began distancing itself from the military escalation because it feared a regional inferno, while Russia and China used their UN Security Council vetoes to shield Tehran, turning the Axis of Resistance diplomacy into a geopolitical shield. The underlying argument of this war is simple because it happened as deterrence failed, not because diplomacy was untried. From this point, a more unsettling truth about the nature of diplomacy in modern conflict begins to emerge. The main insight remains unsettling because diplomacy has not disappeared, but it is no longer aiming for peace and instead is only managing the catastrophe.
3.1. Voices Against the War.
Opposition to the war has emerged across multiple layers of the international system, combining political resistance, public protest, and moral condemnation. Several governments and international actors have either openly criticized or quietly distanced themselves from the escalation, warning that the conflict risks widening into a regional catastrophe with global consequences. Beyond state actors, widespread protests have taken place across different countries, reflecting a growing perception that the war is not only strategically dangerous but also legally and morally contested.
Within this growing opposition, the most visible and morally forceful resistance has come from Pope Leo XIV, who has consistently denounced the war as unjust and dangerous. He has warned that the world is being pushed by leaders who misuse power and even religion to justify violence, while insisting that “God does not bless any conflict” and calling the war a form of madness. His position has not been isolated, as other religious figures including the Archbishop of Canterbury have supported his call for peace, bringing attention to the human cost and the moral failure of continued escalation.
At the same time, the conflict has revealed a growing concern over the use of moral and religious language in political and military decisions to legitimize war, raising questions over how far such narratives influence public understanding of the war. Pope Leo XIV has warned that the world is “being ravaged by a handful of tyrants” who prioritize destruction over human welfare. He condemned those who manipulate “the very name of God” for military, economic, and political gain, arguing that this distorts both faith and responsibility. The danger in this confrontation is not only diplomatic but conceptual, because once war is framed in religious terms, it becomes harder to limit, harder to negotiate, and far more likely to escalate beyond political control.
4. Fractured World.
What began as a calibrated show of force has turned into a conflict that refuses containment, spilling across borders with a pace that outstrips diplomacy. The war’s geography now stretches from Israel and Lebanon across to the Gulf, with Hezbollah pulling Lebanon into sustained confrontation, while Gulf states, once peripheral, find themselves within the growing blast radius of retaliatory strikes and strategic intimidation. Missile trajectories and drone swarms no longer respect traditional frontlines, blurring the line between battle zones and areas once assumed to be secure as civilian infrastructure comes under repeated disruption.
Yet the deeper tremor is economic, felt far beyond the battlefield. The closure and contestation of the Strait of Hormuz, through which a fifth of the world’s oil flows, has turned energy markets into instruments of war, driving prices upward and injecting volatility into an already fragile global economy. The International Monetary Fund’s downgraded growth forecasts reflect this strain, pointing to a growing crisis in which inflation rises, supply chains tighten, and vulnerable economies, particularly energy importers, bear disproportionate pain.
If the battlefield exposes the mechanics of destruction, diplomacy reveals the fractures of the international system itself. The refusal of key NATO members such as the United Kingdom and France to fully support Washington’s escalation points to a clear strategic divide within the Western alliance. At the same time, a countervailing axis, operating in support of Iran through Russia’s intelligence assistance, China’s economic and technical links, and North Korea’s missile cooperation, has come together not as a formal bloc but as a shadow coalition working to reduce the United States’ influence. This is no longer a bipolar confrontation. It is a tri polar world in motion, where power is diffused, contested, and increasingly transactional.
5. Conclusion.
Now we know what a modern war looks like. It is a war that begins without clear authorization and proceeds without a consistent legal or moral framework. The strikes launched on 28 February 2026 by the United States and Israel against Iran did not receive approval from the United Nations Security Council, nor were they preceded by a direct Iranian attack on either state. In that sense, the conflict exposes a clear reality that the international system lacks the power to prevent or meaningfully constrain wars initiated by major powers. What emerges is not simply a failure of diplomacy, but a deeper erosion of the rules that once defined legitimacy in war, leaving smaller states and global stability increasingly vulnerable in a system where power acts first and justification follows later.
The war raises unresolved political and strategic questions that extend far beyond the battlefield. First, there is a lack of clear objectives and outcomes, with no visible endgame directing the course of the conflict. Second, rather than eliminating the threat of weapons of mass destruction, the conflict brings back the logic of deterrence in which Iran’s pursuit of nuclear capability gains renewed justification as the ultimate guarantee of security. Third, the political side of the war is becoming impossible to ignore. In the United States, the November 3, 2026 midterm elections stand as an important test of public opinion on foreign policy and military engagement, while in Israel the 27 October 2026 elections are increasingly tied to debates over leadership, security, and national direction. Whether the war ends before these electoral moments or instead influences them remains uncertain.
What this conflict has revealed most clearly is the limitation of military power in determining political reality. The United States and Israel have demonstrated their capacity to destroy targets and project power within this conflict, yet the war has also shown that destruction does not translate into control, nor does it guarantee favorable outcomes. Analysts increasingly point to the gap between tactical success and strategic ambiguity, where escalation produces no clear victory and no stable resolution. As scholars such as Stephen Walt have argued, the United States remains powerful, but its current policies risk weakening that power over time. In this environment, battlefield success is no longer enough to secure political outcomes, and the absence of a clear strategy continues to leave the conflict without a decisive direction.
In the end, the war appears to pause, but nothing truly ends. The Strait of Hormuz briefly reopened only to be closed again hours later. Oil prices fall, markets rise, and relief spreads across financial centers, yet these movements remain reactions, not resolutions. A ceasefire stretches across Iran and Lebanon, but it carries no clear victory, no decisive achievement, and no lasting settlement, only the quiet admission that force has reached its limits. The world has faced an energy shock on a scale not seen since the 1970s, and recovery will take years. What remains is a deeper uncertainty, because the conflict has not resolved the tensions that produced it, it has only exposed them. Power has proven capable of disruption, but not resolution, and stability, once broken, does not return with the same speed as markets. The war may pause, the strait may open and close, and the numbers may recover, but the future remains unsettled, and for now, no one truly knows what tomorrow will bring.
Thank you.
Written by Christopher Makwaia
Tel: +255 789 242 396
— The writer, is a University of West London graduate (formerly Thames Valley University) and an expert in Management, Leadership, International Business, Foreign Affairs, Global Marketing, Diplomacy, International Relations, Conflict Resolution, Negotiations, Security, Arms Control, Political Scientist, and a self-taught Computer Programmer and Web Developer.
Akizungumza na Wachimbaji wa madini ujenzi katika Mkoa wa Morogoro Afisa Program kutoka FADev Bi. Rehema Mkuli amesema kuwa mafunzo hayo yamelenga wachimbaji wadogo wanaojihusisha na madini ya ujenzi na viwanda, hususani madini ya kokoto kwa lengo la kuboresha uelewa wao wa kitaalamu na kuhamasisha mbinu salama na zenye tija katika shughuli za uchimbaji.
Pia, Bi Rehema amesema wachimbaji hao wanajifunza juu ya mbinu za Msingi za Uchoraji wa Ramani za Kijiolojia (Basic Geological Mapping), Usanifu salama na bora wa mashimo (Safe and Efficient Pit Design)
Aidha, kwa upande wa wakufunzi kutoka ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Morogoro Mjiolojia Asifiwe Waksoni Ngala amewalezea wachimbaji juu ya Uchoraji wa ramani za kijiolojia, na kuwataka wachimbaji kujifunza zaidi juu ya utambuzi wa aina mbalimbali za miamba na kuelewa madini yanayopatikana ndani yake.
Ujuzi huo unasaidia kuongeza ufanisi katika utambuzi wa rasilimali, kupunguza uchimbaji wa kubahatisha, na kuongeza tija katika shughuli za uchimbaji.
Mafunzo haya yamelengwa kufanyika katika mikoa minne kati ya mikoa nane iliyofanyiwa utafiti wa Madini ya Maendeleo (Development Minerals). Mikoa hiyo ni Singida, Dodoma, Morogoro na Tanga.

Afisa Mwandamizi wa Idara ya Mahusiano kwa Jamii katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena Senkondo (kulia) akipeana mkono wa shukrani na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale John Isack wakati wa hafla ya makabidhiano ya Trekta kwa ajili ya kusomba taka na kufanya usafi kwenye halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale John Isack (kushoto) wakipongezana na Afisa Mwandamizi wa Idara ya Mahusiano kwa Jamii katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena Senkondo (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano ya Trekta kwa ajili ya usafi kwenye halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale.
Muonekano wa Trekta iliyotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa ajili ya kusomba taka na kufanya usafi kwenye halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale.
Viongozi wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na wa halmashauri ya wilaya ya Nyang’wale wakipeana vifaa kwa ajili ya usafi kwenye halmashauri hiyo.

Afisa Mwandamizi wa Idara ya Mahusiano kwa Jamii katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena akizungumza kwenye halfa hiyo ya makabidhiano ya trekta kwa halmashauri ya Nyang’wale

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'wale John Isack (Katikati) na kulia kwake ni Senkondo Afisa Mwandamizi wa Idara ya Mahusiano kwa Jamii katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena wakiwa kwenye utiaji wa saini katika halfa ya makabidhiano ya trekta kwa ajli ya kusomba taka na ufanyaji wa usafi kwenye halmashauri hiyo

Wafanyakazi wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’wale wakiwa kwenye picha ya pamoja
*
Mgodi wa Barrick Bulyanhulu umeendelea kutekeleza sera yake ya mkakati endelevu wa kusaidia jamii baada ya kukabidhi trekta ya kusomba taka yenye thamani ya shilingi milioni 66 pamoja na vifaa vya kufanyia usafi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’wale kupitia fedha za Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) katika juhudi zake za kutunza mazingira nchini.
Akiongea katika hafla ya makabidhiano ya trekta hiyo, kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Nyang'wale , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, John Isack alisema msaada huo umekuja kwa wakati katika juhudi za kulinda na kutunza mazingira kwa maslahi ya wakazi wa wilaya hiyo na vitongoji vyake.
“Tunashukuru Barrick Bulyanhulu kwa msaada huu wa trekta , tunaamini sasa hali ya usafi katika Wilaya yetu itakuwa nzuri kwa kiasi kikubwa kwani hii ni trekta ya pili wametupatia, matarajio yetu ni kuongeza kasi ya kuondoa taka kutoka hapo awali ya kutoa mara mbili kwa wiki, awali tulikuwa tunazoa taka katika siku za Alhamisi na Jumatatu hivyo tutaongeza siku pia tunatarajia kuongeza huduma kwa maeneo ya miji inayokuwa kwa kasi kibiashara kama vile Bosolwa, Nyijundu, Bukwimba na maeneo ya migodini",alisema.
Isack aliongeza kuwa kampuni ya Barrick Bulyanhulu kupitia uwekezaji wake imefanikisha miradi mingi ya kijamii na utunzaji wa mazingira wilayani humo kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii ambayo inazidi kuboresha maisha ya wananchi.
“Leo tumepokea Trekta ambalo limenunuliwa na kampuni ya Barrick Bulyanhulu kwa gharama ya Shilingi Milioni 66 , Trekta hili ni maalum kwa kazi ya kuzoa uchafu na kupeleka dampo kwa kweli ni msaada mkubwa kwa wilaya yetu kwani kwa miaka mingi sana tumekuwa na changamoto juu ya uzoaji wa taka katika mitaa yetu ukichukulia kwamba mji wetu unakua kwa kasi na kupelekea uzalishaji wa taka kuongezeka kwa kasi, na ni matarajio yangu sasa mazingira ya Wilaya yetu yatakuwa safi, nichukue fursa hii kuwaomba wananchi kufanya usafi kila siku kwani tayari kwa sasa tunalo trekta ambalo litakuwa linasomba taka mara kwa mara”, alisema.
Kwa upande wake Afisa Mwandamizi wa Idara ya Mahusiano kwa Jamii katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena Senkondo alitoa shukrani kwa viongozi wa serikali na wananchi kwa kuwa na uhusiano mzuri na Kampuni hiyo na kuongeza kuwa msaada wa trekta lililokabidhiwa ni kwa ajili ya kufanya usafi na utunzaji wa mazingira.
“Niwaombe ndugu zangu usafi ni jukumu letu sote,trekta hili tulitunze ili liweze kuboresha mazingira yetu ipasavyo ,milioni 66 ni pesa nyingi hivyo naamini tutakuwa tumefungua njia ya kuboresha mazingira ya usafi wilayani Nyang’hwale, haswa ikizingatia kampuni ya Barrick Bulyanhulu ni wadau wakubwa wa utunzaji wa mazingira”, alisisitiza Zuwena.













.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)


.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)


.jpeg)




.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)
