Miss World Africa Nancy Sumary katua Bongo leo na kulakiwa na mamia ya watu wakiongozwa na Mke wa mgombea urais Jakaya Kikwete, Salma, kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere hapa Dar. Ngoma, vifijo na nderemo vilitawala wakati uwanja uliposimama kwa muda kumlaki malkia wa urembo wa Afrika toka Bongo. hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa muda mrefu kwa wabongo kucheka kutokana na ushindi wa bara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. sawa, inawezekana ari mupya na kasi mupya ikabadili mambo bongo! mwanzo mzuri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...