Miss World Africa Nancy Sumary akiogelea kwenye bahari ya mikono ya pongezi mara baada ya kutua Bongo leo saa mbili unusu asubuhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Asante sana ndugu Muhidin Issa Michuzi kwa kutuwekea picha za mapokezi ya Malkia wa Afrika. Picha ni za haja tena kali ni hiyo ya mama Salma tuanze kumjua (ila sina uhakika ni mahaba ya siasa au tekniko problemu ilikufanya uichapishe mara mbili, au mbwembwe). Halafu nina uhakika asilimia mia moja utaendelea kutuwekea picha zao (Nancy na Salma).Tuanzage kuwazoea kwani ndio mabadiliko ya enzi haya.

    ReplyDelete
  2. Mwaipopo mtoto amekukuna.

    ReplyDelete
  3. Si haba ndugu 'anonimous'. Ila katu sitaweza hata kufika alipo. Nimepata taarifa nyepesinyepesi eti hata Bongo atakuwa anatembelea kwa kubeep tu. Makazi yake sasa yatakua London. Fani hiyoooooooo!!

    ReplyDelete
  4. Mwaipopo mbona nimesikia kuwa anakuja Capitol yaani hata hapo huwezi kufika tena?

    ReplyDelete
  5. Capitol nitafika lakini kule atakakokuwa yeye kufika ni muhali.Huyo keshakuwa wao, sie akina pangu pakavu tia mchuzi(sio michuzi)yetu macho tu

    ReplyDelete
  6. Mwaipopo usikate tamaa mapema ndugu yangu jitahidi tu kama mtoto kakukuna

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...