Pichani ndo kikosi cha kwanza cha timu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, maarufu kama ari mpya stars a.ka. kasi mpya rangers a.k.a nguvu mpya united. Kutoka kushoto ni waziri kiongozi wa zanzibar nahodha, makamu wa rais dr. ali mohamed shein, rais jm kikwete na rais wa zanzibar amani abeid karume na waziri mkuu edward lowasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. sawa brass tumeiona....si mbaya. tunasubiri kuboresha maisha bora kwa kila mtanzania. wakiuhitaji mchango wetu watapata kwa roho moja!

    ReplyDelete
  2. Suti zote hizo gharama zake zinatosha kununulia ambulance moja katika hospitali moja ya mkoa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...