mojawapo ya visiwa katika ziwa victoria

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. sasa nimeelewa ndio maana wanasema kuwa ukizaliwa sehemu kama hizo lazima ujue kuogelea. sasa hawa watu mbunge wao ni nani? au wako kwenye jimbo gani?

    cheers

    ReplyDelete
  2. Hivi waazungu hawajataka kununua hicho kisiwa na kukigeuza Tourist resort?

    Michuzi, picha safi sana. Je hicho kisikwa kinaitwaje?

    ReplyDelete
  3. Hicho ni kisiwa kiitwacho Musira . Kiko umbali wa dakika kama 5 hivi kutoka bandari ya bukoba. Hutumiwa sana na wavuvi au wafanya biashara wa samaki kama makazi ya muda.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 16, 2006

    KAMA HIKO KISIWA HAKIJANUNULIWA MIE NIKO MBIONI KUKUSANYA FEZA NA KWENDA KUKIMILIKI. JE KUNA MTU YEYOTE NAYEJUA KAMA HIKO KISIWA KINAKUA AU KINAPUNGUA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...