vijana wakila 'kwela' la sauzi wakati wa afta pati ya tok

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. hawa sio watamu kama wale wengine,wachezeza mduara. hawa wamepinda migongo bwana.

    ReplyDelete
  2. hawa ndio washiriki wa miss world africa nini?tafadhali elimisha mimi

    ReplyDelete
  3. naam hawa ndo wenyewe, na miongoni ,mwao alipatikana yule miss pasonaliti aliye piga picha na Rais.

    ReplyDelete
  4. jamani sio hawa.hawa ni washabiki tu wa muziki wakijiburudisha

    ReplyDelete
  5. michuzi ebu twambie kweli, eti kweli hawa ndio mamisi walioshiriki kwenye mashindano?

    ReplyDelete
  6. mambo yako michuzi mazito

    ReplyDelete
  7. Ebana Michuzi naomba nikurekebishe kidogo, samahani lakini mkuu.Hii sio ngoma ya Kisauz, hii ni ngoma ya Kimarekani, ila tu wimbo ule wa kisauz ndo watu wanapenda kuchezea hii ngoma.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...