bomoabomoa imenoga bongo, na majengo mapya kuibuka. tatizo sikumbuki picha hii nilipiga wapi. naomba msaada, enyi mlio ughaibuni...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hili jengo lililo nyan'ganyan'ga mbona kama jengo la Biashara Consumer Ltd,juu tawi la CRDB likitazamana na Posta? naona kanisa la Anglikana kwa mbali na Kempiski yetu(toba,sijui leo hii hotel hii inaitwaje,kila kukicha tunabatiza jina jipya tu!)

    ReplyDelete
  2. Hapo hakukuwa na petrol station hapo? Pako upande wa pili wa jengo la Haidery kama unaelekea Azam Bakhersa ya mtaa wa Jamhuri. Mike, Kempinski unaifahamu wewe? Ni K'njaro Hotel ya zamani. Unachoona wewe ni BoT Millenium Towers kutoka kulia, halafu Posta House, St. Albans Church na Wizara ya Mambo ya Ndani.

    ReplyDelete
  3. Hapo ni town, kanisa la kiangalikana la Mt. Albano linaonekana kwa karibu, na kwa nyuma zaidi (kuanzia kushoto kwenda kulia) ni Uhamiaji, Kitega Uchumi cha posta na PPF Towers. (Sio Millenium Towers, Millenium lipo kijitonyama)
    Na pia huwezi kuiona BoT kwa hapo, minara yake imezibwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...