ule mkao wa kula na ndoa ya mkeka vilizaa hii harusi ambapo wanakamati tulofanikisha twatambulishwa na mwenyekiti wetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Michuzi nipe jina la huyo bwana Harusi maana namfananisha na mhaya mmoja hivi ambaye kabla sijaeleza sana kwanza nihakikishie ili nijue huyo binti mlipomgawa.

    ReplyDelete
  2. OOH mICHUZI HUYU SI Kashaga Frateline, aliyemaliza hapo UDSM HAO VINGINEVYO? eNEWEI BWANA ANONIMASI HATA MIMI NADHANI NI HUYO ILA MICHUZI ANAWEZA KUTUPA STORI ZAIDI. Huyu jamaa kwa kuacha marose noma saana sijui kama ndiye huyu kaoa.

    ReplyDelete
  3. eeeeeeh!! mbona mnatutisha!... huyu bwana inaelekea hatari huyu!!!! kwa mnaomjua kwani nia aje?

    ReplyDelete
  4. Michuzi mkao wako wa aibu inaonyesha hujiamini kama kweli ulitoa mchango wa kufanikisha hiyo shughuli!!!Au ni mambo flani ya shibe???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...