hapa ni manzese. ajali zimepungua baada ya uzio huu kuwekwa kwani yatakiwa mtu kuvuka pahala pake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Yaani hakuna mabadiliko kabisa Michuzi. Ok ngoja niishie hapa tu.

    ReplyDelete
  2. nasikia hawaruhusu kujenga gorofa mitaa hii, kwasababu utachungulia watu kwa juu juu wakioga kwenye vyoo vya pasipoti size. hata ilo gorofa wamesema livunjwe! "kcc"

    ReplyDelete
  3. Afadhali naona maendelo kidogo maanake ilikuwa usumbufu mtupu hiyo barabara. Watu walikuwa wakivuka barabara kila wakati na ajali zilikuwa daily.

    ReplyDelete
  4. Nakumbuka hayo maeneo sana kwani mara yangu ya kwanza kuingia dar nililala guest moja iliyopo hapo inaitwa Mbokomu Lyamha Inn yaani kuna joto sijapata ona.Nilikua natokwa jasho hata nikiwa bafuni naoga.

    ReplyDelete
  5. Naona Manzese si Manzese ile ya zamani yaani SLUM.

    Asante Michuzi.

    Na kweli wakubwa, wadogo, wazee, watu waliotoka vijijini waligongwa pale karibu kila leo! Ilikuwa balaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...