hii ni ndoa ya mkeka ambayo ni ndoa ya kiislamu ambapo muoaji anapeana mkono na ba mkwe na kujibu maswali ya ndoa akiongozwa na shehe. mke mtarajiwa huwa chumba kingine, viapo vya ndoa vikikamilika ndipo mume anaenda kumshika mkono. neno 'ndoa' ya mkeka limekuja baada ya zoezi hili kufanyika wakati mtu anafumwa na mtoto wa mtu ambapo kinachihitajika hapo no mkeka na shehe tu. picha hii ni ndoa halali ilofanyika ijumaa ilopita kule kigamboni...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Vipi wanarushusu mkristo kuoa binti wa kiislamu kwa mkeka. Maana naona hii safi sana. Na yaweza wafaa walio wengi ambao kuyapata maukumbi, makina-Michuzi, matarumbeta na mabaluni kwao ni nuhali. No gharama kubwa.Kashata, kahawa na juisi imetoka. Au ndio mpaka usilimishwe kwanza?

    ReplyDelete
  2. Asante kwa somo Michuzi. Inaelekea unanusa sana kwenye pilau ndugu yetu. Jeff anajulikana kwa kuruka ukuta uwanja wa taifa, wewe naona unajulikana kwa kunusa kwenye mashaba...itabidi niwe nakaa karibu yako maana kwenye pilau hunitoi.

    ReplyDelete
  3. SHEKH KACHINJA KUKU KICHWA KABANIAAAA!!!!! HAAAA.shunghuli ni watu, kaa mkao wa kula! jamjuah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...