jina la dk. hukwe zawose laendelezwa na vijana na ala zake kama kawa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Wanaitwaje hawa vijana?Hukwe Zawosse na Remmy Ongala ndio wanamuziki kutoka Tanzania ambao CD zao zinapatikana katika maduka mengi ya muziki upande huu wa dunia.Wanamuziki wa kizazi kipya lazima wajiulize,nini chanzo,nini siri na wao wafanyeje?

    ReplyDelete
  2. Kweli Jeff kuhusu kazi za Hukwe na Remmy lakini kwa mtazamo wangu hawa wakina amazon.com wanawaibia tu hawa ndugu. Wanauza sana lakini nina mashaka na kufikisha mauzo kwa wahusika. Sina uhakika na kufaidi kazi zao kwa wasanii wa nchi za 'ulimwengu wa tatu' ambao kazi zao zauzika huku 'dunia ya kwanza'.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...