nna haja ya kutia neno?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Inaonyesha miaka hiyo nyembe zilikuwa adimu sana :-)

    ReplyDelete
  2. chamola macheli wa nchumbiji, wamemua na nkewe wamenchukulia.
    watu wabaya wajameni.

    ReplyDelete
  3. Wacheni kukufuru Mungu nyie, hii siyo sehemu ya kukashfu watu ambao wameshapoteza maisha

    ReplyDelete
  4. Tunakukumbuka shujaa.Siku hizi hakuna kama nyie.Baada ya rafiki yako Mwalimu kuondoka hapa kwetu jamaa wakauza mbuga za wanyama,migodi ya Dhahabu nakama sio muda wa uongozi kwisha hata sisi tungeuzwa utumwani kama enzi zileee.Sasa hivi tunaye jamaa Kidooogo anatia matumaini ila chama chake mmh!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 13, 2006

    HIZI NDIO PICHA ZA WATU WALIOTUKUKA KWA AJILI YA MAISHA YA WAAFRIKA AMBAO BAADHI NDIO HAO HAPO JUU WANATUKANA!"IFRE WANA FRELIMO ZOWONA,IZA PANDA KU MOZAMBIQUE X2"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...