mwalimu butiama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Du MIchuzi hii picha kati zile chache sana kumpata Mwalimu!!! Huyu mjomba tutamkumbuka sana na Mungu amweke pema peponi na wengine wote mashujaa wa kweli wa Mwafrika Mkwawa, Chaka, Malkia Nzinga, Mansa Musa, Kwame, Biko na wengine wengi. Na iwe hivyo.

    Ali Pembe- Gomigo

    ReplyDelete
  2. Picha poa sana hii Michuzi. Mzee wetu na makubazi yake.

    ReplyDelete
  3. Hizi ndio picha ambazo hunikumbusha Mzee wa Busara(sio mchawi lakini)

    ReplyDelete
  4. Hizi ndio zile picha za nadra kabisa na ambazo ni kumbukumbu nzuri mno.Ahsante sana kwa picha hii Michuzi.

    ReplyDelete
  5. kumbe huyu babu alikuwa na kakitambi kadogodogo, na makurubasi yake ya BORA

    ReplyDelete
  6. sasa mambo si haya hapa ata watoto wakimuona wanamkumbuka mtu aliye waletea uhuru.safi sana bwana shemeji

    ReplyDelete
  7. Mwalimu alikuwa na kakitambi ka kufungia mkanda tu. Si mnaona alivyotoka ki persona

    ReplyDelete
  8. huyu mzee ni wa kuheshimu sana kwa mengi aliyo fanya. hivi nilisikiaga ya kwamba serikali imewasahau familia yake mpaka kuna wakati hakuna msosi na lingine wafanyakazi wanaacha kazi kule kwa mwalimu sababu hawajalipwa mshiko wao siku nyingi hivi ni kweli?

    ReplyDelete
  9. Jamani huyu ni nyerere au Bozi Boziana maana amekaa kama mnenguaji vile wa kizarwaaaaaaaaa Lokasa ya mbongo eeeeeeeeeeeeee.

    ReplyDelete
  10. mama nzawisa eeeeema nzawisa nzawisa nzawisa salama alekum nyerere nzawisa

    ReplyDelete
  11. michuzi picha hii kiboko nakuheshimu bro

    aisee sikuwahi kutegemea ona picha ya jkn kama hii mzeeee sikuwezi pozi la nguvu aisee umenifurahisha sana michuzi kwenye mambo mazuri shurti tukusifie bwana,nimeipenda picha hii

    ReplyDelete
  12. aisee siku hizi bongo tumeendelea hadi watu wenye akili finyu namna hii wanaweza kufungua ''issamichuzi.blgspot.com'' basi sasa tunahitaji kazi nyingine ambayo ni rahisi kuisema lakini ngumu kuifanikisha
    kumbadilisha huyu mtz mwenye akili finyu
    kuwa na japo kaupeo kadogo kakuanzia.

    ReplyDelete
  13. samahani hapo juu ni ''issamichuzi.blogspot.com'' na si ''issamichuzi.blgspot.com'' mwisho wa kunukuu.

    ReplyDelete
  14. nenda baba, nenda mwalimu kamsalimie kolimba.e bwana hilo song sio mchezo lilinitoa chozi mzee si unakumbuka hiyo siku?wale jamaa kweli waliimba si jui wanaitwaje wale? bwana shemeji kama unapicha zao twaomba utuwekee.

    ReplyDelete
  15. hao jamaa wanaitwa parapanda theatre lab, ukiwa-google utawapata, na picha zao zimo humo kibao. aidha ukirudi kwenya alkaivu za septembar-november ipo picha yao ya mchezo wao mpya wa jukwaa uitwao 'samaki wa dhahabu'

    ReplyDelete
  16. Michuzi-
    Asante sana kwa hii picha, ni zawadi nzuri kwetu wote. Thanks for sharing! Unajua kama isingekuwa huyu Mzee wetu sisi watoto wa wakulima tusingekwenda shule na tusingekuwa hapa tulipo. Mapenzi mengi kwa Tanzania, mungu amjalie na roho ya Mwalimu naamini iko pema! Michuzi, kwetu sisi hapa ughaibuni you are a source of joy!

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 13, 2006

    HAWA NDIO WAZEE WALIOFAHAMU MAISHA NI KUPITA TU!KUJILIMBIKIZIA MALI DUNIANI HUWEZI KUPANGA GESTI YA NGUVU MBINGUNI.AKILI YOTE ALIYOKUWA NAYO,UWEZO CHEO NA MAMLAKA:BUSARA YA PEKEE ITOKAYO KWA MUNGU NDIO ILIYOMFANYA AISHI MAISHA HAYO YA KAWAIDA INGAWA BADO KUNA WATU KIBAO WANAMLAANI!
    LAKINI KWA HUYU MZEE,NINA HAKIKA SASA HIVI YUPO AKIFURAHI NA MALAIKA.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 19, 2006

    Haya anony,we mchungaji au mzushi tu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...