Home
Unlabelled
kinamama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mama hawa + mama salma kikwete ndio wanaoamua nchi ielekee upande gani.
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeletemichuzi unatufanya tutamani kujua ndugu yetu hapa juu aliandika nini?????tupe hint basi alitukana au?
ReplyDeleteUpewe hint gani wewe, acha ushabiki usio na maana, nyie ndio wale usione kichaka tu teyali mavi yanakubana
ReplyDeleteWee Michuzi hata ufute mara 100 + 4, narudia kusema kwamba hao akina mama ni wahusika wakuu katika wizi, ufujaji wa mali ya umma na rushwa. Haswa Limama Mkapa!! Huwezi kuamnini kuwa hadi hivi leo akina mama Mwinyi wakienda saluni wanaongozwa kwa magari ya polisi na ving'ora juu!! Kwa nini wasiende Bwejuu au Stone Town kuishi kama mama Maria Nyerere alivyofanya kuishi Butiama?
ReplyDeleteWengine walipewa hata ubunge wa kuteuliwa ili waweze kutuibia (mama Malecela). Huyu mama Mkapa hakuna aliyempa kura katika wadhifa wowote wa umma au serikali. Kuwa mke wa rais imekuwa kama leseni ya kuwaibia wanyonge. Amejinufaisha yeye, mume wake, watoto wake na ukoo wake mzima at the expense of Walala hoi.
ReplyDeleteHizi roho zenu za korosho zitawaua
ReplyDeletemimi ninasema jambo moja jamani,usenge wa kuona wachache wanatajirika kisa tu ni mke wa msenge flani serikalini,mi ntafyeka mtu tu siku moja...ohooo
ReplyDeleteHuwezi kufyeka mtu, kama roho inakuuuma zaidi na wewe olewa na hao unaowaita wasenge ili na wewe utajilike. Vinginevyo kagombee hata udiwani uone kazi ya kushawishi wana INJI ilivyo NGUMU. Na takirima imefutwa sijui utawashawishi vipi, labda uwape ndogo
ReplyDeleteHalafu bado vilevile watadai usawa wa kijinsia. Hivi ushaona waume wenye wake maafisa wa juu serikalini wakikusanyika kimbelembele na kujipa umuhimu mbele ya kadamnasi ya umma kama hawa akina mama? NASEMA WAACHE KUJIFANYA WAO NI MUHIMU KWA WATANZANIA KWA VILE TU WAUME ZAO NI MARAIS, MAWAZIRI AU SIJUI VITU GANI!! HII ANASA YOTE WANAYO-ENJOY TUNAILIPIA SIYE WALIPA KODI TENA NA MABILIONI YETU WANAYOTUIBIA!!
ReplyDelete