Home
Unlabelled
mgeni rasmi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi kweli kufungua kisaluni hiki kulikuwa hiki ndio lazima kuwe na kundi lote hili la watu...hizi ndio tabia tunazozientertain siku hizi na zinatuchelewesha kuendelea....harusi moja vikao 100.kuna siku nimesoma kwenye gazeti rais karume kaenda kufungua bomba chakechake.siku nyingine nikasoma rais mkapa kaenda italy kufungua jengo la ubalozi.guys lets take it easy!!!!lets insist on quality sio visherehesherehe hivi.
ReplyDeleteMichuzi vipi leo hujaenda ofisini kwako nini mbona picha hamna broo?
ReplyDeletetena jamaa huyu anauza unga, anazuga na vinyozi,
ReplyDeletehahah anony wa kwanza unanichekesha. Wazanzibari si unawajua tena, haukumbuki habari za SMZ miaka ile?
ReplyDeleteBado watanzania tuko kwenye mode za furaha furaha tu za uhuru! Tuwalete wachina watupige hamsha ishirini. Lakini ndiyo hivyo, ukipiga mzigo masaa 20, majambazi yanakuja kuchukua 'chao' na kukutoa roho.
huyu jamaa naye ni mwizi tuu mwenzao mmoja aliuawa mwaka jana.
ReplyDeleteyaani ni lijitu lishamba tuu lilimbukeni lijamaa la ajabu ajabu tuu.
yaan hii tanzania yetu sijui majitu kamaa haya, yanatakiwa yatiwe mbaroni.
ukisema hivyo jamaa wanasema eti wivu, au unapakazia watu.
ReplyDeletekwani kazi ya revenue nini? wapewe uwezo wa kuinvestigate kama nchi nyingine, kipato cha mtu kijulikane wazi kwa serikali.
uwezi kuwa na vinyozi na sijui biashara gani mbuzi ukawana na mamilioni, lazima serikali ijui unapataje unanyoa wangapi?,, TZ amkeni jamani! hawa ndio wezi wenyewe!
mbona mi nilishasema zamani kuwa jamaa jambazi watu hawaelewi...jamaa ana vihiace kila njia ya bongo halafu anaviita ''kitendawili'',sasa hayo si matusi ya rejareja,kuwa anawaibia halafu watu mmeshindwa kutegua kitendawili hicho....
ReplyDeletelakini nae majambazi wenzie watammuwahi tu ipo siku
MICHUZI NAOMBA TUWEKEE PICHA YA RICHARD PAUL YULE JASUSI ALIYEKAMATWA ARUSHA JUZI, BAADA YA KUTAJWA NA JAMBAZI MWENZIE KUTOKA NCHI JIRANI YA KENYA.
ReplyDeleteNIMEFURAHI SANA POLISI WALIVYOFANYA KAZI YA KUMVUNJA MAPUMBU.
KILA MWIZI ANASIKU YAKE NA HUYU MPAKA NJIA NAYE PIA ANASIKU YAKE.
Yaani sijawahi kuona mtu akatolewa jazba namna hii. Huyu jamaa ni jambazi kweli au ndo hivyo mishen town nyingi sana kawatapeli tapeli watu mjini.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteWatu wengi tunasoma hii safu lakini hatuelewi maana vitu vingine unatufumba mno....
Mfano hiyo picha unapoandika kwamba "hapo na kabla ya ajari mwaka jana" unamaanisha nini? Maana wengine tumetoka Tanzania kabla ya mwaka jana na ajari zilizotokea mwaka jana sidhani kwamba hata wewe uliyeko hapo kuwa unazikumbuka zote....hivyo naomba nikuulize una maana gani unaposema hivyo?