Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bwana harusi ni nani mbona ujaweka snepu yake!!! Lakini hawa warembo wetu wamependeza sana...I. Mgwasa
ReplyDeleteMichuzi:
ReplyDeleteUnatuchanganya unaposema Klynn (shoto). Unapoweka hizi picha fikiria msomaji atakavyoiangalia kwa sababu Kylnn ni huyo wa kulia.
jamani, huyu dada klynn ni mzuri kweli. harusi hiyo ilifanyika ukumbi gani? huyo basila anaonekana kachoka
ReplyDeleteBasila amekuwa ka Whitney Houston, kanyaukaa
ReplyDeleteBwana harusi anaitwa Ibrahimu Goebles.
ReplyDeleteanyauke mara ngapi basila???? hakuwa kuwa mzuri bwana kyln ndio kiboko ya mamiss wote
ReplyDeleteMercy Galabawa aliibiwa ushindi na K-lynn mi mpaka kesho naamini hivyo. Mercy alikuwa ananivutia sana yule mdada, nitafute mercy.
ReplyDeletewamechukiza, yaani na u~designer wote huo Khadija alishindwa kuwatafutia nguo za maana hao ma brides maids?
ReplyDelete