salma kikwete akiwa na picha inayoonyesha jk akikubali matokeo kwa mwalimu chimwaga mwaka 1995

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. uhuu mpango wa kutafsili kiingereza kwenda kiswahili ata haulipi nini maana ya mama wa kwanza? wewe ita first lady. Mama wa kwanza wa nani? Aende zake kule.Kila mtu ana mama.

    ReplyDelete
  2. Bwana Michuzi, tunashukuru kwa picha hizi nzuri. Ila burudani ya kutembelea blogi hii huwa inaharibiwa na watu chuki na lugha mbovu kama ya huyo mwandishi wa hapo juu. Kweli hii ndio madhara ya demokrasia ya Internet ambapo tunajikuta tunaingia ukumbi mmoja na watu wasiostahili kuwemo kabisa. Keep up the good work and dont be deterred by some those ignorant urchins.

    ReplyDelete
  3. hao ndo wenye chuki zao MICHUZI WEWE FANYA MAMBO ACHANA NA WATU WASIO NA MPANGO NA MIDOMO YAO MICHAFU.

    KUNA MTU AMEMLAZIMISHA AMUITE MAMA.

    ReplyDelete
  4. mchangia hoja wa kwanza kasema kweli uhuu mpango wa kuitana mama wa kwanza wala haupendezi kabisa bora tuitage first lady.
    nyerere baba wa taifa tukimuita huyu mama wa kwanza na mama maria tumuitege? zamani wengine walikuwa wakiitwa au kujiita watukufu haya ndo maajabu mtukufu ni mungu tu.wengine wamekaa na kukurupuka na kutaka kumuita nyerere mtakatifu kweli tunaelekea kubaya.sifa za nini au ndio kujikomba.kingine inaoneshaga kwamba afrika tupo huru kwenye internet tu kwani mtu auwezi kupingana na mwenzio.mambo mazuri yanakujaga kwa kutoanaga kasoro sio misifa tu.Kamugisha

    ReplyDelete
  5. tunatakiwa tuwachachafya viongozi wetu na sio kuwasifia kila kukicha. ndio maana viongozi wetu wakipata madaraka wananenepeana, wa wenzetu ughaibuni wanaota mvi.mwangalie JOJI BUSH alivyochoka, CHIRAC, BLAIR. viongozi wetu wanapenda sifa kaa wacheza mpira.jamjua

    ReplyDelete
  6. wasipate mvi mchezo wakati kila wakiamka
    wana kitimoto cha kujieleza hata kama ni mtoto mdogo anamuuliza swali ana haki zote kujibiwa ipasavyo,siyo wetu wakiulizwa kidogo tuu pressure juuu(na ambapo ni once a yr) anaanza kurusha mikono kashadata na anadhani anajidefend kwa kufanya hivyo kumbe mchoro tuu maana ''HAWAKULELEWA HIVYO"

    ReplyDelete
  7. mchangiaji no. nne nimekupata sana ni kweli kama mama K ni mama wa kwanza mama jkn tumwitaje jamani mbona tunachanganya mambo....ila na wewe ga ga zimezidi tusemage! mara yanakujaga! mtu wa wapi hebu nikumbushe kidogo wa ismikinyi nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...