....ikabidi atoke haraka na kuingia lifti ingine. kumbe ikagundulika uzito ulizidi, na safari hii watu wakapungua, lifti ikakubali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2006

    Kwani hao wapambe nuksi ilikuwa ni lazima waingie nae kwa pamoja?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2006

    Wale waishio nje ya Tanzania,Did you guyz got an email toka kwa Mabarozi wenu wakiomba mchango wa pesa kwa ajili ya matatizo ya chakula nyumbani? Hapa U.S tumeletewa email; kuchangia pesa ambazo Rais Kikwete atapewa kusaidia the shortage ya chakula nyumbani.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2006

    Halafu na nyie mtatoa hizo pesa? Nawapa ushauri wa bure kama mnazo tafadhali watumieni ndugu zenu ambao nina uhakika wala hawawezi kuwaacha jirani zao wakifa njaa watashea nao tu. Yaani m-wachangie hao mabalozi wanao nunua majengo hewa huko ughaibuni? Mtafahamu ni kiasi gani zimechangwa? Vinginevyo kama ninyi ni wazalendo kondoo toeni hizo pesa zikaishie kuporomosha majengo Masaki na kupeleka watoto wao huko ughaibuni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...