mbunge wa lindi mjini na mkuu wa mkoa wa tanga mohamed adbulazizi akimvisha joho la heshima waziri mkuu edward lowassa alipozuru lindi majuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2006

    Kaka Michuzi,


    Kazi kweli umenifanya nijisike nyumbani leo ,mimi ni yule anon toka lindi . Namwona mbunge wangu bwana Silipi Deni na zaidi naona uwanja wetu wa ILULU .

    Michuzi huo uwanja una historia kubwa sana katika mambo ya uzalendo waulize simba na yanga . Ni uwanja pekee ambao simba na yanga siku zote walipofika hapo hawakuwa na washabiki kabisa ! Na mtu ukishangilia simba au yanga uwanja wote unakuzomea,Marefa wote kabla ya mechi walipewaa dhifa ya jiji kule kwa mkuu wa mkoa na baadaya ya hapo matokeo yake watu waliyaona !

    Michuzi asante sana yu avu medi mayi deyi , kwani nilichoka hiki kitu Dar dar tuu azi ifu tanzania hazi onli wani mkoa !


    Michuzi ningefurahi sana kama ungeniweka picha za mikindani na litingi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2006

    Kazi kweli kweli mara Tanga, mara Lindi Dah tabu kweli kutumikia bwana wawili, Jimbo na Mkoa. Inabidi sasa tulioko huku turudi kusaidia majukumu mengine au vipi Kaka Michuzi.

    ReplyDelete
  3. mikindani na litigi sijafika karibuni, lakini ombi lako lipo kwenye datarejea, na litatekelezwa mara itapowezekana

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 06, 2006

    huyu mbunge nasikia anaitwa SILIPI DENI je kuna mtu anajua chanzo cha jina hili?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2006

    Anon hapo juu , mimi kwa bahati namjua huyu bwana kwa muda mrefu kidogo , Huyu bwana ni mbunge wetu na hilo jina silipi deni speaks for itself ! Huyu bwana ana historia ya kutokulipa madeni na kuna kipindi alikuwa proud kabisa na hiyo tabia !

    Ila sisi watu wa ukanda wa pwani pwani ni watu tunaojua kusamehe ,na mara nyingi hatuko so embeded na maisha ya hapa duniani , kwa hiyo watu wa jiji la lindi wamemsamehe na kusema ukweli
    tunampenda mbunge wetu despite tabia yake ya kutokulipa madeni.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2006

    sawa anony nimekupata.aisee tabia ya watu wa lindi nzuri sana.inabidi nikatafute kazi huko nikirudi bongo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 09, 2006

    Kwani ni madeni gani aliyokuwa akikopa feza au? na kwa nani hasa kwenye mashirika au?

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 10, 2006

    itakuwa kwa wenye vihela mbuzi wenzake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...