jk akiwa na aak na jaji mkuu samatta baada ya aak kuapishwa leo ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2006

    weeeeeee Kijana zemarcopolo, huyo usimguse kwani ni rahisi wa sehemu fulani ya mwungano!!! Kimya kabisa kijana!!! hehehehehe!! Lakini kweli bwana, mbona Mheshimiwa raisi Karume hana degree zaidi ya ile ya op.. uni.....

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2006

    Sasa naona vijana mnataka kugusa pasipogusika. Swala la elimu kwa mtukufu rais wa zanzibar, silijadiliwe tafadhali. Vinginevyo haka ka blogu kenu katafungiliwa mbali

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2006

    Anony wa kwanza, mbona unampandisha chati Mtukufu Rais? Open University ipi hiyo? Yeye ana elimu ya hai skuli tu period. Na kwako anony mwingine, kufunga hii saiti hawawezi, Michuzi si mtu mdogo ati, sana sana watamwita wa mwambie, Bw. mdogo usiweke picha za Wakulu wenye elimu ndogo

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 08, 2006

    Karume sisi Watanganyika anatuhusu nini? Watamuongelea Wapemba na waunguja. Kwanza karume anaongoza watu wachache ambao hawafikii hata milion, huwezi kumlinganisha na Mh Amina ambaye anayeongoza Vijana wa Tanzania ambao ni mamilion na mamilion.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 08, 2006

    Kweli kabisa bwana Grill, unajua Amina Chifupa anamzidi karume kwa umaarufu

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2006

    Aliyesema kuwa na digrii ndo akili ni nani mbona kuna watu wanakuwa na upeo mdogo, Kuna watu wengi tuu ndani ya chama na serikali hawana digrii lakini wanaupeo mkubwa wa kiuongozi

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 09, 2006

    aisee anony wa 7.58 point zako kali.aminia babaake.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 10, 2006

    huyo nani aliyesema tukimuongelea rais wa znz blog itafungwa ?? sasa nakwambia hivi, mimi binafsi nilishawahi kumpandishia karume alifanya upuuzi ambao angeweza kuepuka nao, now what !! mwambie sasa aje aifunge kama huko visiwani kutakalika !!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 14, 2006

    ELIMU NI MATENDO NA UWEZO WA MTU KATIKA KUAMUA,KUTENDA,KUELEKEZA,KUKOSOA,KUSHAURI NK.
    KUNA KUSOMA SHULENI NA KUSOMA KAZINI(PRACTICAL)IMBAYO NDIO NJIA MUAFAKA ZAIDI.
    WENGI WETU TUNADHANI UKIKUSANYA MAKARATASI MEEEENGI NDIO UNAFAA KUONGOZA "UONGOZI NI KIPAJI NA KINATOKA KWA MUNGU" EDUCATION WITHOUT APPLICATION IS USELESS!
    HIVI KUSEMA OVYO JUU YA WENGINE NDIO KUELIMIKA!?
    KWENDA SHULE AU KUSOMA SIO KUELIMIKA,ILA UYATENDAYO NDIO ELIMU YAKO.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 16, 2006

    Karume hana sifa zote hizo ulizoeleza hapo juu labda yule ndugu yake Balozi anazo lakini siyo yeyre, kwani ameshafanya nini la maana hapa Zanzibar kwa miaka mitano iliyopita?kule Pemba umeshafika kutazama magofu ya majengo ya skuli zisizoisha?kuendeleza mradi wa nyumba wa Baba yake si deal, watu wanajenga nyumba zao hawana haja ya maskani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...