wazazi wengi wameitikia wito wa kupeleka watotot wao shule, hata kama ni walemavu. hawa wawili wako darasa la pili shule ya msingi lion magomeni na wanadhaminiwa na hospitali ya ccbrt ambayo inamuajili dada (mwenye nyekundu) anayewahudumia wawapo shuleni na kuwatengenezea madawati na viti maalum na pia baiskeli

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2006

    inatia moyo sana

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2006

    nakubaliana na wewe anony hapo juu. Tunatakiwa tuwa support walemavu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2006

    tena kwa hali na mali.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 03, 2006

    Hii sera iendelezwe mikoa yote!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...