samahani kwa ukimya. wikiendi nilienda kujichana mafia. wakati naondoka kuna mwanadada aliye marekani kataka kujua endapo kweli amina chifupa alitolewa mkuku bungeni kwa kutinga na kofia. habari hiyo ni kweli ila ni uongo kwama kofia hairuhusiwi bungeni, kwani kwa mujibu wa mh. spika samwel sitta, endapo utakula ful-suti pamoja na glovu unaweza kuingia na kofia. amina alitinga kama umuonapo hapo pichani wakati waziri wa elimu mama margareth sitta (mke wa spika, naam) akimpoza siku hiyo ya siku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2006

    Amina tumekuchoka sasa ,tafuta mpya nyingine urudi kwenye chati tena, unapwaya!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2006

    Amina tumeshakuchoka sasa,tafuta mpya ,unapwaya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...