mh. james lembeli (pili shoto) akiteta na baadhi ya waandishi wanaokava bunge dodoma. huyu bwana kalamba dume na kuwa mbunge wa kahama baada ya kjusota miaka kadhaa pale tanapa arusha. wengine toka shoto ni abeid butu wa tvt, moshy kiyungi wa ipp, nelly mtema wa deiliniuz, anna itenda wa maelezo na eshe muhidin (hatuhusiani) wa tvt
mh. james lembeli (pili shoto) akiteta na baadhi ya waandishi wanaokava bunge dodoma. huyu bwana kalamba dume na kuwa mbunge wa kahama baada ya kjusota miaka kadhaa pale tanapa arusha. wengine toka shoto ni abeid butu wa tvt, moshy kiyungi wa ipp, nelly mtema wa deiliniuz, anna itenda wa maelezo na eshe muhidin (hatuhusiani) wa tvt
muheshimia mbona umejiwahi umeogopa waungwana wasije wakalitengeneza. vizuri baba
ReplyDeleteHuyu mhishimiwa sie tuliyemsoma magazetini juzi kuwa kafikikishwa mahakamani na dereva wake kwa kumdhulumu fweza wakati wa kampeni?
ReplyDeleteMhh hayo majina yalivyoandikwa! Sisemi mimi. Nitaambiwa bora nimeelewa, lakini vinauzi bwana kagh!
ReplyDelete