waziri hawa ghasia na naibu waziri dk. maua daftari bungeni jana usiku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2006

    Mbona mavazi hayafanani na vyeo vyao?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2006

    hawa waheshimiwa hata hawasikii jota la dodoma?au uarabu mwingi!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 26, 2006

    hebu waambieni hiyo dressing code basi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 27, 2006

    Utafikiri wanakwenda msibani. Si wawe wanaangalia mawaziri wengine wanavyovaa kama akina Zakia Meghji au Dk.Migiro

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 27, 2006

    ikitokea wanawekwa ktk msafara wa kuelekea kwa bush haki ya nani watarudishiwa mlangoni hayaa mavazi gani hayo??? mavitu kibaoo mnaenda wapi??

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 27, 2006

    mbona hamridhiki?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 27, 2006

    Ah! siunajua bwana Mavazi ya siku hizi, mpaka mwanamke aonekane mapaja, mahips, mabamps, mguu, kifua kionekane 2/3, halafu tupate kumsifia.

    Ah! Mgu wake mzuri, oh! angalia bamps zake, Mh! angalia hips zake, Luh Mguu chupa ya bia., Eh! lakini maziwa yamelala.

    Hao ndio wabonge, uzungu umewaingia kutembea uchi ndio ustaarabu.

    Subiri uwe na mke anevaa kiheshima, utasikia wabongo mpaka wanawake wanakwambia mke wako Nzuri, lakini kajificha sana, mguu hatuuoni, kiuno hakionekani vizuri, Ebo! mke wa mtu unamtakia nini? maungo yake si atmuonyesha mume wake, Ndio maana laana inawajia mnatembea hata na dada zenu sasa.

    Kama mwanamke antembea ushi na wewe kaka unapenda iwe hivyou kwa nini msitandikane?

    Vaeni Kistaarabu na ndio maana ya ustaarabu, musipende wale wanaotembea uchi.

    ReplyDelete
  8. Dr Maua Daftari ni mtu makini,mstaarabu, asiyependa kujikweza hata kidogo na ni mchapakazi anayestahili kuigwa na wanasiasa wengine wanawake hapa Tanzania.

    Ni msomi pia asiyechoka kutafuta elimu zaidi.Kwasasa anafanya EXECUTIVE MBA pale Eastern and Southern Africa Management Institute(ESAMI),Arusha.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 27, 2006

    hao wanaoona wemevaa vitu vya ajabu wameombwa na anonymous #3 wawaambie hiyo dressing code wao wanayoona inaendana na hivyo vyeo.
    kama walichovaa hakiendani na vyeo, nadhani spika angewaambia kama ambavyo ameweza kuwaambie wale wote waliofanya hivyo.
    waheshimiwa wa watu wanajua hawajaenda bungeni kufanya fashion show.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 27, 2006

    Fikrathabiti,
    Dr Maua Daftari kuamua kujiendeleza kielimu ni jambo la kumpongeza sana na inabidi na sisi Wabongo wengine tuige mfano huo.
    Lakini si kuna tetesi kwamba hiyo doctorate yake ni zile ambazo zimepatikana bila hata kutia mguu shule! Je hiyo ndio sababu ameamua kufanya executive MBA ili akianza program ya PhD kweli awe tayari amejizatiti kielimu?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 27, 2006

    Nakumbuka huyu Mama Daftari alikuwa na kesi ya kumdhulumu pesa shoga yake sijui kesi iliishia wapi, kwa wenye taarifa.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 28, 2006

    Kweli Sheki Bush ndio nani sasa,kila mtu anahaki ya kuvaa anavyotaka kulingana na alivyozoea,je Bush akija bongo mfano atakubali kuvaa kibongo bongo mfani shati la batiki?waafrika hatuendelei sababu hatuna msimamo madhubuti,ila inferiority complex tu!!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 28, 2006

    By the way who is Bush in our country

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 29, 2006

    Wote wawili wana mashavu bomba sana hasa huyu wa kushoto, sijui mabinti zao wakoje!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 31, 2006

    JAMANI MSIWASAKAME SANA HAO NI WASLAM NA MAADILI YA DINI ZAO NDIO ZINAWAFANYA WAVAE HIVYO !!! KWA DRESSING CODE HII NI YA KIDINI SIO KIKAZI KAZI WKA VYEO VYAO WANGEVAA TOFAUTI SIKATAI ILA DINI JAMANI DINI KUMBUKENI HAWATAKI KUJIBADILISHA KAMA KINACHIFUPA WAO WAMEIGEUKA DINI TANGU WADOGO KUACHIA KICHWA WAZI E.G NDIO MAANA BUNGE INAWARUHUSU KUHESHIMU DINI YAO KAMA WABUNGE WA ZENJI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...