hapa ni mazense, dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2006

    Daah michuzi wewe mambo yako bwana unafurahisha kweli ukituwekea vitu kama hivi.......

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2006

    Mjomba Kijakazi kaja! Na gari lake ndio hilo kaja na yule mpiga picha ! Ebu basi jamani vaeni vaeni kanga safi safi basi atupige picha! Tutatoka kwenye gazeti! Thanks Michuzi inanikumbusha mbali sana!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2006

    Haa ha haaa! Dada mwenye gauni la maua ana maan gani? Mkono ......na kitenge kinakuonyesha mambo kwa $! Michuzi mimi niko Europe mwambie nina euro tu!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2006

    11:51 usishangae sana, unaweza kuja kuambiwa hata kanga zinatoka nje siku hizi, dunia hii ya globalisation wanatumaliza tu!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 24, 2006

    We wa juu hapo huna hata ulichoelewa hapo kuhusu huyo wa juu yako alivyosema! Kanga au vitenge ni chinga tu bwana we! Made in huku huku bwana we!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2006

    Kaka Michuzi,
    Unaweza kutuwekea picha ya Uwanja wa Fisi tafadhali.
    Ahsante,

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 27, 2006

    Huyu aliyewasema hawa watoto kakosea sana,hizi sio tabia za uswahilini ila watoto wanajaribu kuonyesha kipaji chao cha wrestling!!!! Ni umasikini tu lakini hiyo deal wazazi wakiichungulia vizuri itawanufaisha baadae.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 27, 2006

    nyumbani ni nyumbani tu hata kama uswahilini.na watoto wote wa kila sehemu michezo yao ndio hiyo tu ya kuvutana haijalishi kama ni mazense au masaki na obey

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...