naenda dodoma kwa muda. nawaaga na insha hii ndogo ya mbaraka mwinshehe mwaruka, mpiga solo asiye na mfano hadi sasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2006

    Ahha mwenyewe mzee wa enzi zile maana hata sisi tuliozaliwa kizazi hiki mipini yake ikipigwa tunatingisha vichwa kwa utamu wa songi.sometimes huwa nawamind mading wakikitangoma....
    mimi mitwango ya Gogina, mimi msafiri, uzuri wa chungwa ahha inakosha kweli....
    mungu azidi kuiweka oho yake mahala pema peponi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2006

    Wala sikumbuki mara ya mwisho kuona picha ya Mbaraka. Sina shaka Michuzi unajua picha hizi zinanikuna sana. Picha hizi umuhimu wake kwetu kama taifa sina maneno ya kuelezea. Mchango wa huyu bwana kwenye taifa letu kutokana na uwezo wake wa kutunga nyimbo, kupanga muziki, na kudonoa gitaa lake ni mkubwa sana. Kama ulivyosema, kwenye kupiga magitaa hana mfano. Ukimsikiliza leo unaweza kudhani kuwa kapiga gitaa hilo juzi kumbe ni miaka na miaka iliyopita. Chimbua chimbua zaidi picha kama hizi.

    Safari njema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...