Home
Unlabelled
tizi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi hilo jua la hapo na hizo nguo za kiuheshimiwa pole sana. Na kama waheshimiwa wetu huko bongo hawauoni ukweli mdogo kama huo, basi wanatakiwa wapimwe akili. Kwame Nkrumah alitaka tuvae Mgolole, siyo kwa sababu alitaka kupingana na wazungu, ni kwa sababu mgolole ndo nguo zinazoendana na mazingira yetu. Pole na joto.
ReplyDeleteWe anony 9:42;46 hapo juu huku bongo sasa hivi ni baridi na maeneo kama Dodoma ndio usiseme kwahiyo mbunge (Michuzi) kuvaa koti ni sawa kabisa au ulitaka avae koti kama lile la babu yako kijijini
ReplyDeletemichuzi makoti ya mitumba yanakutoaa, mshukuru sana Mwinyi kwa kuruhusu mitumba iingie bongo laasivyo sa hizi sijui ungekuwa na suti ya chun lai au ungeshona suti ya kitenge cha urafiki
ReplyDeleteumetoka bomba mzee, mimi nakuhaidi kuwa campaign manager wako, tuwasiliane ikifika time. au unataka tuanze mapema maana...
ReplyDeleteungekua mweupe,hayo majungu yasingekuwepo.maana hata kama suti ni ya cavalli au dolce&gabbana wangesema tu.
ReplyDeleteumependeza bro.
jengo la bunge kwa mbele ukiangalia unaweza kudhani sinagogi
ReplyDeletemheshimiwa mbunge mtarajiwa muhidin issa michuzi, umependeza sana. sasa mbona picha ya mh. james lembeli hukuweka?
ReplyDeletemzozaji, nashukuru kwa ofa. ila zaidi ya buku shin'gtano sichukui. labda bure
ReplyDeleteMichuzi usikate tamaa babu kwani hata Musti(Mustafa Nyanganyi) si alikuwa paparazi kama wewe, yupo wapi siku hizi? ulaji unakuja huo babu, tutakupa fulu sapoti, usitubadilikie tu na wewe punde ukikamata ulaji!!
ReplyDeletehalafu hizo pozi tayari zishakaa ki ulaji ulaji tu, tehe tehe teheee!!!
Michuzi pamoja na triokaka tunawafagilia ila mkifika huko msibadilike muwe miiba na msimame kidete kutetea walalahoi na sio kuwa rubberstamp[mihuri] ya kupitisha bajeti na hoja mbofumbofu za ccm kama tulivyoona juzi kwenye bunge!Mkiwa walaji tena basi wanablog tutakata tamaa!Nasikia kuna uwezekano uchaguzi ujao tulio ughaibuni tukaruhusiwa kupiga kura angalao ubalozini kwa watakao kuwa karibu!
ReplyDeleteMichuzi kuvaa sports coat na tie
ReplyDeletesio maandalizi ya kuwa Mbunge!
Unahitaji kuwa na lengo, na nia ya
kuwa Mbunge.
Anony wa Jul 26, 6:32pm, hiyo siyo sports coat. Hiyo ni blazer ya vifungo viwili na ni halali kabisa kuvaa na tai. Wabunge wengi wa UK ndiyo vaaji yao hiyo (Blazer, tie na pants.
ReplyDelete