Home
Unlabelled
ziff
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi mbona sikuhizi unachukua sana muda kuweka picha???au deleniuzi wanakubana mno
ReplyDeletemichuzi nikikuangalia kwenye hiyo picha kicheko ulichotoa hakina afya kabisa kuna tatizo lolote? unanihuzunisha sana naoanisha hii hali na kutotoa picha kwa muda mrefu kuna lolote laendelea wapenzi wako hatulijui? tunakusikiliza mkuuu au wabaya wamezidi wema?
ReplyDeletePole sana Michuzi inaonekana tamasha la ZIFF lilikubana sana ndio maana ukawa kimya kidogo, sasa tumwagie vitu vikiwamo vya Zanzi BAR na watu wa majahazi, nasikia watunzi wetu wa Filamu walio wachanga wameshindwa kuingiza Filamu zao kwenye hili tamasha kutakana na kukosa ubora na mfundisho kwa jamii je ni kweli
ReplyDelete