Home
Unlabelled
bomoabomoa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ni hatua muhimu. Lakini je wameandaa mifumo ya msingi kama usambazaji wa maji safi na maji taka, umeme, simu, barabara nk kwa ajili ya majengo haya mapya!
ReplyDeleteDemolition ni hatari watu wanatakiwa wawe mbali anything can happen
ReplyDeleteNi kweli namsapoti anonymous huyu juu yangu, ni kweli hayo majengo yaliyojengwa miaka hiyo yana Asbestos ambayo vumbi lake linaleta kansa ya mapafu...Uliza wataalamu watakupasha...
ReplyDeleteHuo ni ujinga mukubwa- Majengo mengi ya zamani ambazo zinkumbukumbu vimepotezwa, njo hapa ng'ambo utaona wazungu hawabomoi majengo ya kihistoria - Serelkali yetu ina tamaa ya pesa zinazotolewa na wabia - think ahead, Enzi za Neyerere thubutu mgefanya hivyo!
ReplyDelete