majumba mengi dar yamepigwa sop-sop, yashukuriwe makampuni ya biashara yanayotoana roho kugombea nafasi hizo na wakati huo huo kujitangaza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Naona down town Bongo inapendeza kulinganisha Beirut ilivyoharibiwa vibaya!!

    ReplyDelete
  2. Good idea lakini wapangiwe sheria ya rangi za kupaka kutoka kwa halmashauri ya jiji, otherwise mji utaonekana kama ushuzi bora waache hivyo hivyo.

    ReplyDelete
  3. nakusuport anonymous kuhusu almashauri ya jiji,isije majengo yote yawe kama ya yanga na simba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...