kaka salva rweyemamu ambaye ni mwenyekiti wa taasisi ya habari ya nchi za afrika kusini ama misa akizindua ripoti ya uchaguzi mkuu wa 2006 kwa upande wa midia. aliyeketi ni dokta gideon shoo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. So Michuzi, vyombo vya habari vilikuwa na tamko gani kuhusu huo uchaguzi, tutonye basi tulio mbali na hatuna uwezo wa kupata nakala ya hiyo ripoti.

    Ulikuwa wa huru na haki katika ngazi zote... Zenji je vipi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...