mojawapo ya picha nilizofurahia kupiga ni hii ya klinton na mama kichaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. umeniacha kidogo hebu nitafsirie kidogo mama kichaka una maana gani?eh huyo ni mama hillary clinton au?sie wengine ubongo haukamati

    ReplyDelete
  2. Hili suala la lugha ya uandishi ndio linafaa lizungumzwe hapa. Michuzi na waandishi wenzako wa vyombo vya habari TZ mnatumia lugha za ajabu ajabu mpaka tunashindwa kuelewa vitu wakati mwingine. Nyinyi ndio kioo cha lugha ya kiswahili mkianza "kichaka" "Newala" sijui nini mwishowe watu wengine wataanza na wao kuandika lugha zao za ajabu ajabu. Tuwe wastaarabu kidogo.

    ReplyDelete
  3. Nini ambacho huelewi weye,huyo ni mke wa Kichaka a.k.a Bush.Wamependeza kweli.Sasa ungetuambia Clinton hapo alikuwa ansubiri kulipanda jukwaa au ni mlinzi wa huyo mama

    ReplyDelete
  4. umenifurahisha sana angalau unatupa mazoezi ya bongo zetu kwa lugha yako nashukuru kwa kunielewesha kwamba kichaka ni bush nimejiona idiot!

    ReplyDelete
  5. Hongera Musharaf kuwatimua magaidi wakakimbia uchi wa mnyama Pakstani kweupe!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...