Home
Unlabelled
newala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hahahaha! Na kweli uko Newala.
ReplyDeleteNice one, mate.
ReplyDeleteMichuzi waambie wenyeji wako wa hapo Newala wakupeleke club moja maarufu inaitwa SCORES yaani utapata mamboz safi kabisa.
ReplyDeleteGeeque, wewe huna adabu hata kidogo, unataka mjomba michuzi aache rehani kamera yake pale scores!!!!! hahahaha
ReplyDeletenjomba michuzi kumbe we wa kwetu?aaaaaaaah!wachalimie newala tuludie na chamaki nchanga!
ReplyDeletehuyo maza hapo nyuma ya michuzi anafanya nini? :D
ReplyDeleteMICHUZI,
ReplyDeleteIMEKUWAJE UMETOA PICHA ZA CYNTHIA?
Michuzi naomba namba yako ya simu landline ili nikipata muda nikupigie hapo viwanja.
ReplyDeleteassalam aleykum bwana michuzi,
ReplyDeletenashukuru sana kwa message yako. nakutakia mafanikio katika safari yako ughaibuni.
usisahau kuniletea FUBU na SEAN JOHN jeans na kofia.
mimi mdogo wako wa magomeni.
yess kaka kumbuka kupita hapo klabu moja inaitwa wakamba eee ina mademu kibwenaaa nenda baba ni hapo mtaa wa wa kumi na ngapi sijui
ReplyDeleteMichuzi hilo koti la Mchikichini umefika nalo kwa mama! Si mchezo jamaa wanatuokoa kinoma..
ReplyDeleteushauri wa bure Michuzi wakati upo hapo newala jaribu kidogo kubadilisha kivazi ili uweze ku blend in kidogo, kwa usawa huo, unaonekana chamaki nchanga huyooo, wamachinga wa hapo ninavyowajua hawakawii kukuotea, wakaondoka ni Nikon, wallet, nini, si unaelewa tena, haya kaka kila la heri.
ReplyDeletewellcome to New York c u saturday
ReplyDeleteMichuzi hajatoa picha ya cnythia.Imeenda tu kwenye archives za september.Kila baada ya post kadhaa au muda kadhaa nadhani baadhi ya picha zinaenda kwenye archives automatically.
ReplyDeletehahahahahahaha wewe Geeque hufai yaani unamshauri Michuzi aende Scores hahahaha unataka amalize hata hela zake za kununua zawadi akirudi bongo.
ReplyDeleteSawa Michuzi kumbe na wewe ni mmoja wao, mnashirikiana na kina JK kutumbua tu nchi yetu, mlikwenda Real Madrid kuchukua jezi ya bosi wenu, mkapitia CUBA kuzugazuga tu, lakini safari yenyewe ilikuwa ni kufika Newala(U.S.A) kupumzika na kula maisha.
ReplyDeleteKaribu Kijijini!!
ReplyDeleteAngalia email yako kwenye gmail kuna ujumbe wangu.. halafu nipatie jibu basi!
Yes,
ReplyDeleteMichuzi kaingia mjini Newala nadhani utatupa za hapo Bilcana - Serengeti club. Eeeh bwana wee kweli kachukue hata suit za 42nd.
Ebbie Janson
hacha kupoteza muda na pesa za wabongo fanya kilicho kuleta huku.umeridhika eeh
ReplyDelete