
Picha hii nimeazima toka kwa jeff ambaye anatwambia kwamba hao wote uwaonao ni wanaume. na hapo walikuwa wanakutana toronto, kanada, kujadili maslahi yao hasa ya kutaka kujigeuza kuwa wanawake na kwamba eti muumba alikosea kuwaumba wanaume.
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mtu yeyote ikikwambia anajua halafu hajatembea, ni muongo Michuzi! Vitu kama hivyo na zaidi ya hivyo mbona kila siku tunapishana navyo barabarani huku na makanisani au bomani wakiwa wanafunga ndoa.
ReplyDeleteHuku kuna hata wabongo mbona magays, lesbians, dragqueens,....
Vituko juu ya vituko, lakini wana kazi zao na elimu yao ya maana kama kawaida, na family, kama wewe na mimi vile.
Michuzi unafikiri carnival ya Brazil wote ni wanawake wale?
ReplyDeleteMuulize rafiki yako coach wa taifa huyo.
Michuzi, mbona hiyo link ya Jeff inanipeleka http://www.birlik.net/
ReplyDeleteEee bwana eee..mtu unaweza kutongoza ukadhani ni demu kumbe njemba mwenzio.Kasheshe mkifika chumbani..loh!Mungu tusaidie.
ReplyDeleteLink ya Jeff Msangi ni www.harakati.blogspot.com. Jeff kama unasoma hapa,blog yako imeenda shule kama hii ya brother Michuzi.Endeleeni kutupa vitu ndugu zetu.
Msifu
Aisei huyo mzungu anaonekana kabisa ni dume. Hapa Boston napo kaa wako wengi sana! tunapishana nao kila siku. Na kuna akina dada wanajifanya wanaume.
ReplyDeleteBado nacheka nikikumbuka lakini nilishuhudia waBongo walivyoaibika wakidhania wanatongoza wanaume hapa Boston. Niliandika kwenye blogu yangu.
http://swahilitime.blogspot.com/2006/07/minjemba-walikoma-boston.html
Mbona yeye Jeff haonekani alikaa upande gani?Au ndio alipiga picha wenzie?maana naskia na yeye chakula
ReplyDeleteanyony..naona sasa ushaanza kumchokoza waziri mkuu wa blogu(raisi ni Ndesanjo).
ReplyDeleteahahah..msangi akiwa chakula basi wote tutakuwa vyakula.Msimamo mkali wa msangi juu ya masuala haya tunaujua.
ReplyDelete