Home
Unlabelled
joho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi ni kwanini kandarasi za kujenga mambo muhimu ya kitaifa hawapewi watu wenye uzoefu na uwezo wa kufanya hivyo? Kumbukumbu za baba wa taifa ni muhimu mno kuachiwa kampuni shenzi za ujenzi na makapenta wa hovyo kuzikamilisha! sitashangaa kama hilo joho limejaa vumbi! tafadhali tutazame jinsi wenzetu wanavyohifadhi historia yao vizuri katika makumbusho zao nje ya nchi!
ReplyDeletePicha hii imenikumbusha tena picha nyingine niliyoiona katika blogu hii, picha ya magari aliyowahi kutumia mwalimu jinsi yalivyowekwa katika banda pale makumbusho! hivi mpaka siku moja yawekwe juu ya mawe ndio mtafurahi?
Tafadhali zitumike pesa za kutosha kuhifadhi historia hii! watanzania walio wengi hawatachukia iwapo pesa zaidi itatumika kutunza vyema historia hii kwa sababu ikiharibika hatutoipata tena!