Home
Unlabelled
makofi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mamaaaaaaaaa mbavu zangu jamani huweeeeeeeeeee,waangalie majibaba wazima wanacheka tuu kwa kuwa wenzao wamecheka lakini hajue nini J zii amesema,haswa wa kushoto anaonekana KAMONGO kabisa domo kama chai JABA
ReplyDeleteWewe unayejiita Bradleys naona unataka kuleta uzushi...umejuaje kuwa hawajamuelewa au hawajui alichokisema Jay zee? Na pengine anayeongea hayupo hapo kwenye picha hao wote wanamsikiliza hapo.
ReplyDeleteAcheni kuponda just for the sake of it, grow up already!
KUMBE STEVE WONDER NAYE ALIKUWEPO NA MSAFALA WA JAY Z? HUYO HAPO KATIKATI SIYO KWELI STEVE WONDER? AMEANZA KUONA LINI JAMANI ANA ENJOY BONGO NA YEYE?
ReplyDeleteHuyo wa kushoto ni mkurugenzi wa Vodacom TZ Mr Romeo Khumalo kwa taarifa yako hajui kiswahili hata neno moja zaidi ya salamu
ReplyDeleteNilidhani ni Joseph Kusaga au nimekosea?
ReplyDeletejamani huyu baba wa katikati amefanana na STEVE WONDER HASA HIYO MIWANI, NIYA JUA AMA VIPOFU? NI MIYEUSI SANA KAMA ILE YA STEVE WONDER NI YEYE NINI?
ReplyDeleteSi utani naona na Kinje hakukosekana mmemuona lakini?anapiga makofi kiaina....
ReplyDeleteDa naona mambo yalikuwa mambo mwendo wa coca cola, fanta, sprite. Vipi tena bongo paka leo bado mnafagilia mambo haya. Au Coca ndio walikuwa wadhamini wakuu. kwiwkwiwkwiwi Alitakiwa apate Togwa, Maji ya madafu, Juisi ya ukwaju, MAchungwa, Maembe vitu fulani exotic halafu ndio utanzania wenyewe. Sasa Coca Cola wapi na wapi?
ReplyDeleteHuyo kibaraghasheikhea nyuma huko na Jay-z wapi na wapi?
ReplyDeleteHahahahaha,yaaani mmenifurahisha na STEVE WONDER,Romeo kawa Steve?anyway kuna last week kwenye kituo cha radio cha Clouds F.M walikuwa wanaongelea picha ya JayZ,beyonce na Romeo anaonekana kabisa na anajulikana kuwa ni M.D wa Vodacom[T] Ltd,sasa sijui Fina Mango ana matatizo gani na Vodacom na natumai ethics za kazi yake ni bilabila kwake au hajui ethics za utangazaji.
ReplyDeleteKitu kiko straight forward anatangaza namuona Jayz akiwa na mkurugenzi wa kampuni fulani,mwenzake akamuuliza kampuni gani,akamjibu si kampuni yako{kajibu more than three times},kama alikuwa hataki kuzungumzia it would be better angeskip hiyo habari na kuongelea s'thing else.Fina Mango u r not proffesion,i think there's s'thing fishy going on
Kama ni kusema thank you ni angalau tuipe BIG UP Vodacom [T] Ltd kwa kudhamini ujio wa JayZ.Stress free guys.......
mama yanguu weeeeeeeeeeeeeeeeee,kweli kabisa yani wabongo kwa kujipendekeza check hapo mijamaaa inajichekesha tu kwa sababu JIGGA amecheka,lol!!
ReplyDeleteHivi huyo wa katikati ni kipofu? Anapiga makofi kama Ray Charles na kavaa miwani ya jua mchana.
ReplyDelete