Home
Unlabelled
steve
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bwana Michuzi achana na huyu bwana anayetaka kujifanya msomi na majigambo mengi.Sisi tulio wengi ndani na nje ya Tanzania tunashukuru sana kwa jitihada zako za kutufahamisha mambo mbali mbali yanayoendelea huko nyumbani kwa kupitia picha na mambo mengine...Tafadhali usimjali huyu bwana wewe endelea na blog hii bwana na Mwenyezi Mungu akubariki wewe na familia yako.Huyu bwana kama anachukizwa na yote ayaonayo ndani ya blog hii basi atuachie sisi tuendelee na blog yetu....Asante sana bwana Michuzi
ReplyDeleteJAMANI SIKUJUA KUMBE HATA NANCY SUMARI ALIPENDELEWA KWENYE MISS WORLD SI CHOCHOTE?
ReplyDeleteMiss World upendeleo mtupu - Wema
2006-10-12 09:35:09
By Somoe Ng?itu
Wakati mrembo wa Tanzania, Wema Sepetu, akidai kuwa upendeleo umejaa katika mashindano ya urembo ya dunia, Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa haijakata tamaa kutokana na kutimiza malengo yake ya hapa nyumbani.
Wema alisema kuwa alikwenda katika mashindano hayo kama mshindani na alijitahidi kushiriki katika mashindano yote ya awali katika kuhakikisha anajiweka katika nafasi nzuri lakini bahati haikuwa yake.
Alisema kuwa hata mrembo wa Angola ambaye ndiye alitwaa taji la Malkia wa Afrika lililokuwa linashikiliwa na Nancy Sumary hakuwa na mvuto ila kilichomsaidia ni baadhi ya majaji walioshiriki walikuwa wanatoka Angola.
”Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu, na sidhani kama nina mapungufu yoyote ila naamini kuwa katika mashindano yoyote kuna kushinda na kushindwa,” alisema Wema.
Aliongeza kuwa pia alijitahidi kutangaza vivutio vya utalii na utamaduni wa Tanzania kwa kugawa bendera na fulana zenye bendera ya taifa na wanyama mbalimbali.
We Mizzou una matatizo gani? Ni wapi umeona habari ya Wema Sepeu kwenye picha hii? Na hata hiyo habari uliyo paste hapo ni wapi wanasema Nancy alipendelewa? Soma habari vizuri kabla hujaanza kutunakilia vitu visivyohusiana na picha iliyopo.
ReplyDeleteHuyu Mizzou nilimstukia toka alipokuja na point ya JK kuongea na Bush achunguze mauaji.
ReplyDeletejamaa kichwa kimejaa makamasi anahitaji msaada haraka sana
Ugali umenasa kwenye meno.
ReplyDelete