Home
Unlabelled
tidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
http://www.mtv.com/news/articles/1540898/20060914/jay_z.jhtml?headlines=true
ReplyDeleteKWA PICHA ZOTE ZA TOUR YA JIGGA.
ReplyDeleteFUATA HII LINK UJIONEE WATU WALIVYOFULIKA NCHI MBALIMBALI
http://www.mtv.com/news/articles/1540898/20060914/jay_z.jhtml?headlines=true
NENDA KWENYE PICHA "WATER FOR LIFE TOUR"
Michuzi ningeomba kuuliza swali ndugu yangu; LEJEA HAPO NYUMA KWENYE COMMENT YAKO YA ILANI soma kipengere numba MBILI(2)nanukuu: NIANZE KUCHUJA MAONI NA KWA KUFANYA HIVYO NIWANYIME UHURU HATA HAO WATUKANAO AMBAO WANA HAKI YA KUTOA MAONI KAMA WALE WASIOTUKANA?
ReplyDeleteKaka michuzi kwanza mimi nimekwisha toka katika katabia ka kutukana nadhani unapendezwa na comments zangu kwani nyingi nimeziona una zi post, sasa mimi binafsi ningependekeza kama kuna uwezekano watu tuwe tuna sign kwa email zetu na majina yetu unaonaje? comments zikiwa na matusi machafu ndiyo ungezizuia kabisa sasa hivi inachukuwa muda mwingi comment kuwa posted sasa sijui ikiwa usiku huko unafanyaje tusubiri na huku ikiwa usiku kwetu kusoma comments tulizo post? Asante natumaini utalifanyia kazi hili swali langu pia.
It is interesting how TID is wearing something written California and JayZ something written Tanzania....
ReplyDeleteJE BAUNSA HAPA ALIKUWA NANI? MAANA KWENYE SHOO KAMA HIZI LAZIMA MABAUNSA WAWEPO NA WA NGUVU ILI BLING BLING KAMA ZA JAY-Z SIZIKOPOLEWE KAMA ALIPOTEMBELEA MWANANYAMALA HAKUWA NA BLING BLING ZAKE, LAKIME ALIONYWA NA WASANII ASIVAE.
ReplyDeleteNA MABAUNSA WA NGUVU NINAOONGELEA HAPA SIO YULE -SOLOMONI- MTUMIANI AMBAYE ALIMTUMIA MKEWE KWA HALI NA MALI. NA SASA ANAVINJALI NA -SABINA- MWANA KILOMOLOMO WA KUFITI CHANGU.
Sasa wewe TID fulana ilyoandikwa Carlifonia ndani ya Daimondi manake nini?Sijui naona ni ulimbukeni maana kama mgeni anakufunza umuhimu wa nyumbani kwako kwa kweli ni kichekesho.Umaarufu wa kizembe TID huo,ni bora ungevaa tu hata fulana iliyoandikwa Afrika.Kaka ni shule au utumwa!!!!!!
ReplyDeletenimetoka kusoma muda si mrefu kutoka kwenye website moja ya huku marekani ambayo inasema kwamba jay z amekatazwa kwenda China kwa sababu nyimbo zake zina maneno mabaya( hasahasa matusi), na kule China nyimbo kama hizo haziruhusiwi maana ni kinyume na maadili yao, lkn wangejua huku bongo watu walivochanganyikiwa kwenda kumuona sijui watasemaje, kweli hii ni dunia
ReplyDeleteChina Cancels Jay-Z's Shanghai Concert
ReplyDeleteOct 11, 7:06 AM EST
The Associated Press
China's Culture Ministry has nixed a concert this month by rap artist Jay-Z at Shanghai's Hongkou Stadium, citing a need to protect local hip-hop fans from nasty lyrics, a report said Wednesday.
"Some of Jay-Z's songs contain too much vulgar language," the state-run Shanghai Daily newspaper quoted Sun Yun, of promoter KS Production Co., as saying to explain the ministry's reason for refusing permission for the Oct. 23 concert.
The concert would have been the Chinese debut for the rap icon, whose real name is Shawn Carter.
The New York rapper's use of profanity and songs about drug dealers, pimps and violence apparently offended the culture czars, who have recently allowed other groups with sexually suggestive songs, such as the Rolling Stones and the Black Eyed Peas, to perform in Shanghai.
The cancellation could not be immediately confirmed, but a notice posted Wednesday on an online ticket booking Web site, Tickets365, said the concert had been postponed.
The notice in red gave no reason, but said concertgoers would be contacted as soon as a new date was set.
A call to a representative for the rapper early Wednesday went unanswered, as did calls to the news office of China's Culture Ministry. The number for KS Production was not available.
TID tembelea www.jamhuriwear.com
ReplyDeletewacha mali!
maku maku maku...ulalalalalala maku maku maku maku ma ulalalalalala hawa kaka maku...wanavyomindini kuiba simu ulalala sijui.....
ReplyDelete