mbunifu ebony moualim na modo wake wakikata mbuga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Huyu jamaa ni mbunifu sana, kuna wakati nilibahatika kuona art work zake kwenye computer kwa kweli nilishangaa, jamaa alikuwa ana design vitu vikali sana, kuna kipindi pia alijaribu kuimba sijui aliishia wapi?

    ReplyDelete
  2. Yale yale, hivi bwana michuzi umekosa cha kutuwekea ? Yaani haipiti wiki bila kuweka mambo ya umiss kwenye hii blog yako ?

    ReplyDelete
  3. NAKUBALIANA NA ANONY HAPO JUU. MICHUZI KAZI IMEKUSHINDA?? MAANA KAZI YAKO MOJA HASA YA KUWAPA UJIKO WATU WASIOKUWA NA MAANA KAMA CINTHYA MASASI, HATA PIA WANAOTUMIA HII BLOG BULOGU YAKO KUTAFUTA KUWA POPULAR KAMA YULE SHENA SINARE, ALITUMIA MATANGAZO YA NGUVU YALE YA MSIBA WA WALTER NA VONETHA, KULETA STORY ZAKE HAPA. NA WEWE KAMA TUNAVYOJUA UNA-VIEW MAONI KABLA YA KUPOST NA UKAWA UNAPOST UTUMBO ALIOKUWA AKIANDIKA SIJUI MWENYEWE PAMOJA NA RAFIKI ZAKE. VIPI WEWE? NA SASA UNARUDI TENA KWENYE MAMBO YA UMISS UMISS TU. NOMA HII.

    ReplyDelete
  4. anony wa hapo juu mshamba sana sasa we ulikuwa unataka aweke picha za nini??? acha mambo yako ya kikoloni....

    ReplyDelete
  5. WAHESHIMIWA ANONY 2 AND 3 HAYA SIYO MASHINDANO YA UMISS NI KUONYESHA KAZI ZA UBUNIFU WA MITINDO YA NGUO, NADHANI I NAFASI NZURI YA WATU AMBAO HAWAKUWEPO KWENYE SHEREHE HIYO NA AMBAO HAWAPO NYUMBANI WAPATE KUONA NI KAZI GANI WATANZANIA WENZAO WANAIFANYA NA NI VIZURI,
    WABUNIFU WOTE HINGERENI KAZI NI NZURI INATIA MOYO INDELEENI KUKAZA UDHI, KWANI KINA DOLCE N GABANA, DIOR NA WENGINEO NDIVYO WALIVYO ANZA HIVYO MTAFIKA TU....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...