Home
Unlabelled
chande
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Lazima tuhoji mzee, Wanasema watu walikuwa wanatoa pesa ili kupata 'u-sir na wengi wao wahindi, sasa huwezi jua mzee naye alitoa dogo dogo kwa Tony Blair. Jambazi Sumaye bado yupo naye, mzee kwa kujipendelea kazidi naye, alimzidi hata Mkapa!
ReplyDeleteumemsahau Sir George Kahama.......
ReplyDeleteau ni kuyajipachika kama Dr.Remmy Ongara??
DUH! Kumbe Mzee Chande bado yu hai!
ReplyDeleteNi lini hizo accusation na chombo gani cha habari kilihusika?
ReplyDeleteTafadhali tujulishe
Anon 6.26:52 Kahama sio SIR kama unakumbuka alikuwa anataniwa sana na Nyerere,yeye kahama kajipachika hilo jina akiwa shule,SIR mchezooooo.
ReplyDeleteChande kapewa kwa kulinda masilahi(interests) ya Waingereza nchini Tanzania! Kapewa tena heshima ya Kihindi huko India kwa kulinda masilahi ya India nchini Tanzania!
ReplyDeleteMama Joan Wickens pia alitaka kupewa heshima ya Lady eti kwa kulinda masilahi ya Uingereza nchini Tanzania! Lakini kakataa kwa sababu ingekuwa skandali kubwa kwa serikali...alikuwa one of the private secretaries wa Mwalimu!
Kuna yeyote out there anayeyajua kwa undani masilahi hayo ni yepi?
Andy Chande is head of Free Masons in EA and that is why he gt the title. He is one of the few upper ranked Free Masons in the World!
ReplyDelete