Home
Unlabelled
dah!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyo kaka kafufuka?tulisikia alifariki na ngoma. sasa how come yuko hai? pole we kaka wawatu una roho ya paka mungu akuzidishie! AMIIN!
ReplyDeletemswahili akipata bwana!!!! Matako hulia pwatapwata....!!! Yaani kila siku ni sherehe huu ni upuuzi kabisa
ReplyDeletehuyu mpuuzi amina kwa kweli anaboa sana sana sana kwa kupenda kwake sifa na publicity!!!!
ReplyDeleteinawezekana kuwa ni kweli kwamba huwa anawahonga waandishi wa habari ili habari zake ziandikwe/ zitokee kwenye vyombo vya habari.
sitaki kuamini kama na wewe michuzi ni mmoja wa waandishi vihiyo kwani heshima uliyojijengea katika fani hii ni ya juu sana. Si vema ukaingia katika mkumbo huu wa kipumbavu.
achana na amina.huyu ni mpuuzi tu kutokana na level yake ya kielimu(form six division four inayokaribia ziro)
Ushauri wangu kwa amina ni kwamba arudi shule... she is stil very young, hope she can make it.
Ajifunze kujiheshimu yeye binafsi; haina haja ya kuweka hadharani yote kuhusu maisha yake..
kuna baadhi ya mambo ambayo ni very personal, ya kifamilia na mengine siyo mbaya yakiwa on public eye, lakini siyo kila kitu- huu ni upumbavu, ufinyu wa mawazo, uzito wa kufikiri na ukosefu wa nidhamu binafsi.
Kua bwana, tumeshakuchoka- kila siku wewe tu- huoni vibaya?
Badilika kulingana na hadhi uliyonayo katika jamii. Mbona wengine hatuwasikii? na wana mafanikio kama yako au kukuzidi...halima mdee, grace kiwelu,zitto kabwe to mention just a few...wewe una nini hasa cha kukufanya utajwetajwe kila siku hata kwa mambo yako ya kipumbavu?? ooh amina alikuwepo kwenye uzinduzi wa twanga, ooh amina alikuwepo dar carnival, ooh amina katungiwa wimbo wa taarabu na zanzibar stars,mara kaomba dua -nonsense if not stupidity. Jifunze kuwa na maisha binafsi
Anon hapo juu nakuunga mkono kwani yeye ni nani haswa???? Lakini nimegundua tatizo kubwa ni huyu michuzi bin supu... PAMOJA NA KWAMBA BLOGU NI YAKE lakini bado tuna haki ya kuwekewa constructive issues otherwise haina haja ya kuiweka hii blogu kwa public. Sisi mambo ya amina kusoma dua it is more than personal... wabunge tunawajua kibaooo na wanago through alot of personal problems lakini hatujuwahi kuwasikia wakijitoa hewani kuwa wamekwenda kuswali au kwa waganga kuweka mambo yao sawa sasa iweje kila siku amina... au ni kweli mshiko unatembea ili ajengewe jina... for her info anaharibu kichizi... AAH NSHACHOKA MIE NSIJE TAPIKA BUREEEEEEEEEEE
ReplyDeletehuyu demu kapata basi ishakuwa shida tatizo uswahili umemjaa,anapaswa aende shule,huu upumbafu watu wamechoka sijui huko bongo,mimi niko kiwanja lakini ananikera kishenzi,anapenda sana attention,hayo mambo ya dua ni personal,na wabongo kwa pilau wamejaa kibao hizi njaa zita tuua.
ReplyDelete